mtumishi wa yehova
Member
- Dec 12, 2023
- 67
- 65
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikua Kisiju?Huko mkoa wa pwani, Nilibiwa na wali wachinja ng'ombe watano wa maziwa. Aysee asubuhi nilitalifiwa hata kzn sikwenda...
Mungu mkubwa sasa wale ndama walio achwa ni wakubwa na maisha yanaendelea...
Na wewe ni nani mchina au Muhindi??Wakuu, usiku wa kuamkia Leo, nimeibiwa Ng'ombe 10 kwenye shamba langu hapa Kisiju. Wameacha ndama 2. Waswahili wameona naenda kupiga hela Krismasi wakaona waniwahi. Asee epuka kukaa na waswahili km.kibuyu
Wale ni wezi sanaMagogo hasa hayo ya bahi ni majizi kweli kweli ya mifugo, yalinipiga nguruwe 10
Mkuu wala si ujinga kuna watu wanazindika mifugo yao hauwezi kuiba kwa urahisi....Acha ujinga wewe, utaibiwa.
Shida ni kwamba ulienda kuhesabu misikiti badala ya kufuata kilichokupeleka, wakaona wakunyooshe kwanza!)Nasikita mpaka wa Leo sijapata Ng'ombe hata mmoja
Waswahili niwatu wa namna gani?tanzania hii wezi wa ng,ombe niWakuu, usiku wa kuamkia Leo, nimeibiwa Ng'ombe 10 kwenye shamba langu hapa Kisiju. Wameacha ndama 2. Waswahili wameona naenda kupiga hela Krismasi wakaona waniwahi. Asee epuka kukaa na waswahili km.kibuyu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakuu, usiku wa kuamkia Leo, nimeibiwa Ng'ombe 10 kwenye shamba langu hapa Kisiju. Wameacha ndama 2. Waswahili wameona naenda kupiga hela Krismasi wakaona waniwahi. Asee epuka kukaa na waswahili km.kibuyu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ulisema ni wavivu sana kwenye kale ka nyuzi sasa wamekuonyesha kazi
We jamaa unaonekana unayajua sana haya mambo ya uloziSasa hako si kadawa kadogo sana, akikibinua kinu akakiweka mlangoni radi hazimpati ngo!
Wacha nikupe POLE SANA .Kuna kitu kimoja mwizi yyote hatoki mbali ni mtu wako wa karibu sana na anakujua in out kwa mfano mimi hata sijui kama una mifugo au unafuga ngombe kama hukunambia so ngombe wako watafute kwa ndugu zako aua jamaa zako wa karibu na hilo domo lako punguza kusema sio kila kitu utamwambia mtu kesho nakwenda kuuza ngombe wangu chunga sana.Wakuu, usiku wa kuamkia Leo, nimeibiwa Ng'ombe 10 kwenye shamba langu hapa Kisiju. Wameacha ndama 2. Waswahili wameona naenda kupiga hela Krismasi wakaona waniwahi. Asee epuka kukaa na waswahili km.kibuyu