Nimeibiwa, nitamkamataje huyu mtu!?

Nimeibiwa, nitamkamataje huyu mtu!?

mkuu ukejiongeza yaan macbook pro for 250k...yaan na wewe ukatuma pesa kabsa...aseeeh polee
 
Sidhani kama ni askari, atakuwa kaiba hata hizo sare;
dawa ni kumvimbisha tumbo lake tu.
 
payment must be after delivery .. na hakuna kutoa advance payment hutaki hakuna biashara
 
Mkuu, nafikiri utaratibu wa kutoa taarifa ni kuwa-pm Mods, na ili ufanikiwe hili uongozi umetutahadharisha mapema kwamba unapofanya biashara ya aina yoyote kama unona kuna ulazima ni busara ukaushirikisha uongozi kwa namna moja ama nyingine ili yanapotokea makosa uongozi unajua utakusaidia kwa njia ipi...nafikiri ni hivyo tu kwa ufupi.
Thanks
 
Mkuu maduka yapo yanayouza hivyo vitu,tatizo mnapenda vitu vya bei rahisi haya mambo yafikie mahali yasijirudie.
 
Nenda police ka report , waambie wakupe form ya uchunguzi wa simu za huyo mwizi, watazijaza chukua polisi mmoja nenda kwa hawa wanamitandao wata ku direct kwenye special department ambayo watakupa in depth info za huyo mtu kuanzia locations na circles za huyo mtuhumiwa.

Kwa kufanya hivyo hatofurukuta.

Jaribu.
 
Mpige kipapai akomeee......mvimbishe pumbu
 
Waswahili tumejaa sana wizi na utapeli...ukiwa mkoani na unahitaji huduma zinazohusiana na Mac kwepa sana Wabongo...ni Wahuni na Matapeli wakubwa.

Alafu njia yao kubwa ya kuliza wenzao ni kwenye bei....ishu ya milioni au zaidi atakwambia anaiweza kwa laki tatu au mbili...ukijichanganya tu umeliwa....

I digital walikuwa na ofisi Arusha ila naona sasa wameifunga, vijana wao walikuwa na utapeli huo.

Wenzetu Wahindi ni waaminifu sana....nimedili na Wabongo mara tatu kwa ishu za Mac na softwares zake, na zote nimepigwa...na nimedili na Wahindi kwa mara kadhaa zote nimepata nilichohitaji....wao kama hawawezi wanakwambia kabisa ukweli na unaenda kutafuta kwingine.

Muhindi atakupa bei kubwa lakini ni ya uhakika, kama huna pesa ukajipange urudi...Waswahili wenzetu wamekalia wizi na utapeli tu...jitu linachukua pesa, kazi linashindwa kukamilisha, pesa harudishi...alafu anajiona yeye ndio mjanja...au anakuwekea Software nusu, hakwambii...ukianza kutumia ndio unagundua ina mapungufu...umeshamlipa....inakera na kuumiza sana.
 
Habarini wana Jamvi,kwa faida ya wote na wengine Leo nitafunguka Jinsi nilivyo ibiwa Laki Mbili na Nusu yangu na watu hapa watanishauri nifanye nini au tunaweza saidiana Kumkamata huyu Mwizi! kwa faida ya wengine nitaomba Uongozi wa Jamii Forum Uache huu uzi hapa ili watu wajifunze na wajue ili wawe makini, nitasimlia kila kitu na nitaweka ushahidi hapa

Mimi ni mmoja ya watu wanao tumia sana Application ya Kupatana katika kununua vitu,Siku za hivi karibuni niliona kitu cha ajabu kupitia kupatana niliona mtu anapost anauza vitu vya gharama kwa bei nafuu,Cha kwanza nilicho kutana nacho niliona akitangaza kuuza laptop Mackbook Pro,500 HDD,8GB RAM,CORE i7 kwa laki 2.5,pia laptop nyingine Mackbook ila ilikuwa na 1Tb hard disk kwa laki 4.5,nilishangaa na wala sikuamini amini nikaamua kumtafuta kwa kumcondact kupitia namba alizo ziweka Kupatana nikamtext akajibu,nikamuliza unauzaje hio laptop akaniambia laki 2.5 sikuamini nikarudia tena akajibu vile vile,nikamwambia nitumie picha akanitumia picha,nikamwambia wewe uko wapi akasema yeye yupo Njombe ludewa na nje ya biashara hii yeye ni askari! View attachment 329306View attachment 329307View attachment 329308View attachment 329309

Baada ya hapo niliamua kumtext whatsap ndipo alipo niambia kua yeye ni askari na anafanya biashara ya vitu hvyo na kunitumia vitambulisho vyakeView attachment 329310View attachment 329311

Hapo Nikawa na inamani kidogo ila wasi wasi wangu ulikuwa ni kwanini auze vitu vya gharama kwa Bei rahisi hivi? sikutilia maanani sana nikasema labda ni mtu mwenye shida ya haraka na pesa

Inaendelea
Pole mkuu.
 
Habarini wana Jamvi,kwa faida ya wote na wengine Leo nitafunguka Jinsi nilivyo ibiwa Laki Mbili na Nusu yangu na watu hapa watanishauri nifanye nini au tunaweza saidiana Kumkamata huyu Mwizi! kwa faida ya wengine nitaomba Uongozi wa Jamii Forum Uache huu uzi hapa ili watu wajifunze na wajue ili wawe makini, nitasimlia kila kitu na nitaweka ushahidi hapa

Mimi ni mmoja ya watu wanao tumia sana Application ya Kupatana katika kununua vitu,Siku za hivi karibuni niliona kitu cha ajabu kupitia kupatana niliona mtu anapost anauza vitu vya gharama kwa bei nafuu,Cha kwanza nilicho kutana nacho niliona akitangaza kuuza laptop Mackbook Pro,500 HDD,8GB RAM,CORE i7 kwa laki 2.5,pia laptop nyingine Mackbook ila ilikuwa na 1Tb hard disk kwa laki 4.5,nilishangaa na wala sikuamini amini nikaamua kumtafuta kwa kumcondact kupitia namba alizo ziweka Kupatana nikamtext akajibu,nikamuliza unauzaje hio laptop akaniambia laki 2.5 sikuamini nikarudia tena akajibu vile vile,nikamwambia nitumie picha akanitumia picha,nikamwambia wewe uko wapi akasema yeye yupo Njombe ludewa na nje ya biashara hii yeye ni askari! View attachment 329306View attachment 329307View attachment 329308View attachment 329309

Baada ya hapo niliamua kumtext whatsap ndipo alipo niambia kua yeye ni askari na anafanya biashara ya vitu hvyo na kunitumia vitambulisho vyakeView attachment 329310View attachment 329311

Hapo Nikawa na inamani kidogo ila wasi wasi wangu ulikuwa ni kwanini auze vitu vya gharama kwa Bei rahisi hivi? sikutilia maanani sana nikasema labda ni mtu mwenye shida ya haraka na pesa

Inaendelea
Pia mimi kanitapeli vivyo hivo
Alipost laptop macbook air kwa tsh200,000, nikamtafuta kwa +255 718 274 647 na akadai yuko ludewa na akadai nimtumie pesa nusu then nikipokea mzigo nitammalizia pesa yake ,nikatuma pesa jana mchana na akanieleza kwamba atanipa utaratibu, huo utaratibu sijapatiwa mpaka sasa na nikimpigia hapokei simu...
NINACHOSHAURI NI KWAMBA TUWE MAKINI JAMANI.
 
Habarini wana Jamvi,kwa faida ya wote na wengine Leo nitafunguka Jinsi nilivyo ibiwa Laki Mbili na Nusu yangu na watu hapa watanishauri nifanye nini au tunaweza saidiana Kumkamata huyu Mwizi! kwa faida ya wengine nitaomba Uongozi wa Jamii Forum Uache huu uzi hapa ili watu wajifunze na wajue ili wawe makini, nitasimlia kila kitu na nitaweka ushahidi hapa

Mimi ni mmoja ya watu wanao tumia sana Application ya Kupatana katika kununua vitu,Siku za hivi karibuni niliona kitu cha ajabu kupitia kupatana niliona mtu anapost anauza vitu vya gharama kwa bei nafuu,Cha kwanza nilicho kutana nacho niliona akitangaza kuuza laptop Mackbook Pro,500 HDD,8GB RAM,CORE i7 kwa laki 2.5,pia laptop nyingine Mackbook ila ilikuwa na 1Tb hard disk kwa laki 4.5,nilishangaa na wala sikuamini amini nikaamua kumtafuta kwa kumcondact kupitia namba alizo ziweka Kupatana nikamtext akajibu,nikamuliza unauzaje hio laptop akaniambia laki 2.5 sikuamini nikarudia tena akajibu vile vile,nikamwambia nitumie picha akanitumia picha,nikamwambia wewe uko wapi akasema yeye yupo Njombe ludewa na nje ya biashara hii yeye ni askari! View attachment 329306View attachment 329307View attachment 329308View attachment 329309

Baada ya hapo niliamua kumtext whatsap ndipo alipo niambia kua yeye ni askari na anafanya biashara ya vitu hvyo na kunitumia vitambulisho vyakeView attachment 329310View attachment 329311

Hapo Nikawa na inamani kidogo ila wasi wasi wangu ulikuwa ni kwanini auze vitu vya gharama kwa Bei rahisi hivi? sikutilia maanani sana nikasema labda ni mtu mwenye shida ya haraka na pesa

Inaendelea
NA HIZI NDIO PICHA ALIZONITUMIA, NA KUDAI ALIKUA ANAKABIDHI WATEJA LAPTOP
 

Attachments

  • 1469910360412.jpg
    1469910360412.jpg
    111.5 KB · Views: 72
  • 1469910407080.jpg
    1469910407080.jpg
    75.1 KB · Views: 66
  • 1469910433886.jpg
    1469910433886.jpg
    113.2 KB · Views: 66
Huyu jamaa atakuwa ndie yule anapost vitu toka Iringa, huwa viko weird cheap...
Nilichoka kuona galaxy s7 edge eti 300,000/=
upload_2016-7-30_23-51-18.png
 

Attachments

  • upload_2016-7-30_23-52-30.png
    upload_2016-7-30_23-52-30.png
    146.1 KB · Views: 78
Nasikitika wakuu mmeibiwa kizembe na kwa tamaa ya shortcut.A simple reasoning was just more than enough kugundua kuwa bei za mshkaji ni cheap mno

Well,wengine tujifunzie hapa
 
Mamlaka hasa TCRA polisi na mitandao husika wakiamua kutoa msaada huyu anakamatwa kama bata
Kiintaljensia lazima uhingie mkenge kwa jinsi ya hayo maongezi yalivyo lkn lkn huu wizi wamelizwa wengi si kwa kukosa umakini Mmh!
Ni kupenda vya bei ya chini hali unajua hiki akina thamani ya bei hii...
Mnunuzi alijiuliza akaona wacha nijaribu japo alishashtuka,Sasa mamlaka usika waachwe wadili na mengine....
Laki mbili na nusu zake Mwenyezi Miungu atajua jinsi ya kumsadia..
 
Mkuu nimeiona number aliyo tumia kwangu nii hii hapa... +255 788 570 586..

Alipost simu akiwa anauza.. Nikamcheck.. Na hiyo Number ndo ali ipost pale... Nakumbuka alikuwa anauza samsung A5.. Akidai anauza 250.. Nikamwambia upo wapi,, akasema yeye yupo Iringa bt mm nimtumie hela nusu then akanitumia mzigo ndani ya masaa saba Nishapata mzigo wangu.. Nikamwambia naomba ntumie picha ya hiyoo simu whatsapp .. Akanitumia..

Hapo ndo nikashtuka, kwa sababu ni zile picha za gugo then kama ame crop.. Nikawa na mashaka na biashara yake.. Hapo ndo akaanza kunivuta na kuniambia yeye askari si niwe na amani kwa usalama wa pesa yangu akanitumia na vitambulisho hivo...
Lakini roho yangu ilisha ingia mashaka....
Nikamwambia Asante mkuu.. Next time.. Tunafanya biashara...
Nikawa nimepona kuingia kwenye mikono ya huyo ngiri...
Mripoti tcra au polisi atashikwa mapema sana. TCRA wataangalia location yake
 
Back
Top Bottom