Nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba

Nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba

Lagrangian

Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
79
Reaction score
66
Wasaalm wanabodi

Kama kichwa cha habari kilivyo, Kijana wenu usiku wa leo nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba. Nomba msaada mtaalam wa kuweza kufanikisha vikarudi au mwizi kupatikana.
Niko Morogoro mjini.

Mnakaribishwa PM

Picha


Update*
November 8, 2021


Wakuu nashkuru sana kwa maoni na ushauri. Wezi bado sijawapata na wataalam kadhaa wamepatikana. Najishauri niwafanye nini hawa wezi.

Muda mwingine nawaza kuwaacha ili nyumba yangu isije ingia mikosi na nuksi.

Nitaleta mrejesho siku za usoni. Shukrani sana wakubwa.

IMG_20211101_133754_4.jpg
 
Umenikumbusha kibonzo cha jamaa aliyeibiwa pikipiki ya bosi wake akaenda kwa mganga.

Mganga akamwambia wezi walioiba wapo vizuri hatutawaweza sasa unaonaje tukimloga bosi wako akasahau kuwa alikupa pikipiki?

Ikabidi iwe hivyo.
 
Weka dau lako hapa kabla sijaifanya hiyo kazi ili nione kama naweza kuhamasika na kazi yako
 
Mwachie Mungu, jipange kivingine.....mambo ya waganga unajitafutia matatizo makubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom