Nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba

Nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba

Wasaalm wanabodi

Kama kichwa cha habari kilivyo, Kijana wenu usiku wa leo nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba. Nomba msaada mtaalam wa kuweza kufanikisha vikarudi au mwizi kupatikana.
Niko Morogoro mjini.

Mnakaribishwa PMView attachment 1994634
Ungezikatia nyaya zako bima comprehensive ya "special nyaya insurance package", muda huu ungekuwa una collect.
 
Wasaalm wanabodi

Kama kichwa cha habari kilivyo, Kijana wenu usiku wa leo nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba. Nomba msaada mtaalam wa kuweza kufanikisha vikarudi au mwizi kupatikana.
Niko Morogoro mjini.

Mnakaribishwa PM

PichaView attachment 1994657
Waliokuibia ni hao hao waliokufanyia wiring. Watafute uwabinye kende watarudisha
 
Waliokuibia ni hao hao waliokufanyia wiring. Watafute uwabinye kende watarudisha
Hii kauli sometimes..

Nakumbuka kipindi hicho kufunga madishi makubwa ndo habari ya mjini..
Kuna mtaa wa kishua ndo nimeamia na ndo nilikuwa naanza kujitegemea jeshi la mtu m1..
Kuna nyumba kama mitaa miwili toka hapo ninapoishi kuna mzee jirani na mama yangu wa hiari nilimfungia dish la ft 6,jipya nimelifungua mwenyewe kwenye box,kipindi hiko tunafunga mpaka LNB 4 michanel mpaka 200 zote za bure,hyo kazi huyo bi mkubwa ndo aliniunganisha istoshe mi ni fundi wake miaka mingi hata kabla sijahamia huo mtaa..
Ikapita kama miezi miwili..
Siku moja nikiwa kwenye misele yangu,maana nilikuwa nazunguka mitaa balaa kwa kazi hiyo,yule mzee akanipigia simu kwamba channel zimekata kutwa nzima hawakuangalia TV, nikampanga nikiwahi kurudi nitamcheki maana tunaishi almost ni kama mtaa mmoja...
Saa mbili ndo nikarudi ikabidi ninyooshe moja kwa moja mpaka kwa yule mzee.
Nikawashiwa TV nikachukua remote ya receiver kipindi hicho MediaCom 930Mft+ ndo ipo juu..
Uzuri wa hii recever kuna button ya kijani ukibonyenza inakuletea status za Satelite dish..
Inatokea mistari miwili yenye asilimia
1.Wa Orange...huu umeandikwa Quality,huwa unaonyesha connection kati ya dish na reciver,na inabidi isome kuanzia 68% so kama connection mbovu au waya umekatika mahali unasoma 0%...
2.Green...huu ni wa Strengh, kwamba dishi limeshasetiwa na picha zipo na asilimia zake..
Sasa
Kuclick buton ya green Quality ikasoma 0%...uzuri mwenyewe akiwepo.
Ikabidi kitaalam niwaelezee kwamba ukiona hivyo either waya umekatika mahali au ni kama dish halipo kabisa So nikaomba ngazi usiku uleule maana dish lilifungwa kwenye Kenop..
Lahaula nafika juu dish halipo,frem zimebaki kama zilivogongelewa manake liliibwa usiku wa kuamkia hyo siku..
Nikawa nawaza nitamwambia nini huyu mzee na ile kauli yangu tukiwa ndani nafanya diagnostic kwamba "ni kama vile dish halipo"..

Dah kutype kazi asee mi naishia hapa....
Licha ya kuwa baadae sana aliponunua dish lingine jipya hakuniita
 
Hii kauli sometimes..

Nakumbuka kipindi hicho kufunga madishi makubwa ndo habari ya mjini..
Kuna mtaa wa kishua ndo nimeamia na ndo nilikuwa naanza kujitegemea jeshi la mtu m1..
Kuna nyumba kama mitaa miwili toka hapo ninapoishi kuna mzee jirani na mama yangu wa hiari nilimfungia dish la ft 6,jipya nimelifungua mwenyewe kwenye box,kipindi hiko tunafunga mpaka LNB 4 michanel mpaka 200 zote za bure,hyo kazi huyo bi mkubwa ndo aliniunganisha istoshe mi ni fundi wake miaka mingi hata kabla sijahamia huo mtaa..
Ikapita kama miezi miwili..
Siku moja nikiwa kwenye misele yangu,maana nilikuwa nazunguka mitaa balaa kwa kazi hiyo,yule mzee akanipigia simu kwamba channel zimekata kutwa nzima hawakuangalia TV, nikampanga nikiwahi kurudi nitamcheki maana tunaishi almost ni kama mtaa mmoja...
Saa mbili ndo nikarudi ikabidi ninyooshe moja kwa moja mpaka kwa yule mzee.
Nikawashiwa TV nikachukua remote ya receiver kipindi hicho MediaCom 930Mfp+ ndo ipo juu..
Uzuri wa hii recever kuna button ya kijani ukibonyenza inakuletea status za Satelite dish..
Inatokea mistari miwili yenye asilimia
1.Wa Orange...huu umeandikwa Quality,huwa unaonyesha connection kati ya dish na reciver,na inabidi isome kuanzia 68% so kama connection mbovu au waya umekatika mahali unasoma 0%...
2.Green...huu ni wa Strengh, kwamba dishi limeshasetiwa na picha zipo na asilimia zake..
Sasa
Kuclick buton ya green Quality ikasoma 0%...uzuri mwenyewe akiwepo.
Ikabidi kitaalam niwaelezee kwamba ukiona hivyo either waya umekatika mahali au ni kama dish halipo kabisa So nikaomba ngazi usiku uleule maana dish lilifungwa kwenye Kenop..
Lahaula nafika juu dish halipo,frem zimebaki kama zilivogongelewa manake liliibwa usiku wa kuamkia hyo siku..
Nikawa nawaza nitamwambia nini huyu mzee na ile kauli yangu tukiwa ndani nafanya diagnostic kwamba "ni kama vile dish halipo"..

Dah kutype kazi asee mi naishia hapa....
Licha ya kuwa baadae sana aliponunua dish lingine jipya hakuniita
Pole mkuu.
 
Umenikumbusha kibonzo cha jamaa aliyeibiwa pikipiki ya bosi wake akaenda kwa mganga.

Mganga akamwambia wezi walioiba wapo vizuri hatutawaweza sasa unaonaje tukimloga bosi wako akasahau kuwa alikupa pikipiki?

Ikabidi iwe hivyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwizi ni fundi wako
Mara nyingi huwa ndio hivyo nimeona Arusha pia fundi aliefanya wirering ndie alieba nyaya zote. Wakati anafanya wizi alisahau kofia yake na kisu chake darini mbaya zaidi nyumba ilikuwa ya afande. Alikula kibano akaenda onyesha waya zilipo
 
Mara nyingi huwa ndio hivyo nimeona Arusha pia fundi aliefanya wirering ndie alieba nyaya zote. Wakati anafanya wizi alisahau kofia yake na kisu chake darini mbaya zaidi nyumba ilikuwa ya afande. Alikula kibano akaenda onyesha waya zilipo

Mafundi wengi ndo michezo yao
 
Na ni rahisi sana fundi wiring kuiba nyaya bila kujulikana kwani huwa wanazizungushia kiunoni na tumboni hivyo usitegemee hata siku moja kumuona kazibeba kama kifurushi
 
Wiring ukifanya ukaondoka na huna mlinzi lazima ile kwako. Na watoa connection ni mafundi hao hao
Sio mafundi wote. Mi niliwahi ibiwa lakini niliyekuja mpata ni Teja TU la mtaani huko
 
Na ni rahisi sana fundi wiring kuiba nyaya bila kujulikana kwani huwa wanazizungushia kiunoni na tumboni hivyo usitegemee hata siku moja kumuona kazibeba kama kifurushi
Kuna wizi huo pia ila njia hiyo ni nadra sana, mimi nasemea hi njia fundi anakufungia wiring vizuri tu then baada ya hapo anakuja kuzitoa yeye mwenyewe tena
 
Kuna wizi huo pia ila njia hiyo ni nadra sana, mimi nasemea hi njia fundi anakufungia wiring vizuri tu then baada ya hapo anakuja kuzitoa yeye mwenyewe tena
Ila sio mafundi wote wanafanya hi mambo
 
Wasaalm wanabodi

Kama kichwa cha habari kilivyo, Kijana wenu usiku wa leo nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba. Nomba msaada mtaalam wa kuweza kufanikisha vikarudi au mwizi kupatikana.
Niko Morogoro mjini.

Mnakaribishwa PM

PichaView attachment 1994657
Mkuu ulifanya wiring bila kuweka grill au Milangoo.. hebu funguka hapa.. Milangoo na madirisha ilikuwepo
 
Na ni rahisi sana fundi wiring kuiba nyaya bila kujulikana kwani huwa wanazizungushia kiunoni na tumboni hivyo usitegemee hata siku moja kumuona kazibeba kama kifurushi
Hamna fundi anayeweza fanya huo ujinga, ukiona hivyo jua umeokota fundi njaa
 
Back
Top Bottom