Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Ndege wengiMafisa ya Kibirashi ndugu Mjumbe sio?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege wengiMafisa ya Kibirashi ndugu Mjumbe sio?
Mkuu hata wewe ni mwizi katika nafasi yako. Potezea tu pia hao waliokuibia wataibiwa tu na hao waliowaibia nao watalizwa. Iyo ndo faraja.Wasaalm wanabodi
Kama kichwa cha habari kilivyo, Kijana wenu usiku wa leo nimeibiwa nyaya na vifaa vya wiring ya nyumba. Nomba msaada mtaalam wa kuweza kufanikisha vikarudi au mwizi kupatikana.
Niko Morogoro mjini.
Mnakaribishwa PM
PichaView attachment 1994657
Sasa hao mafundi njaa si bado mafundi tu.?Hamna fundi anayeweza fanya huo ujinga, ukiona hivyo jua umeokota fundi njaa