chimamii
Member
- May 24, 2022
- 5
- 14
Wakuu nina swali,
Kuna jamaa yangu amenihadithia kuwa alikuwa anatunza pesa kwenye Kibubu kwa muda wa miezi kadhaa na kwa kipindi hicho alikuwa anatumbukiza noti za pesa na coins pia. Lakini cha ajabu alivyokuja kuvunja alikuta coins mbili tu na moja ya Tshs. 200 ina tobo katikati.
Hivyo swali langu ni: Hili suala la chuma ulete ni kweli lipo? Story ni nyingi mtaani kuhusu kuibiwa na chuma ulete, ni kwamba uchawi upo ama ni mtu wa karibu anaiba? ama kuna janjajanja inayofanyika hatuijui?
Ahsante.
Kuna jamaa yangu amenihadithia kuwa alikuwa anatunza pesa kwenye Kibubu kwa muda wa miezi kadhaa na kwa kipindi hicho alikuwa anatumbukiza noti za pesa na coins pia. Lakini cha ajabu alivyokuja kuvunja alikuta coins mbili tu na moja ya Tshs. 200 ina tobo katikati.
Hivyo swali langu ni: Hili suala la chuma ulete ni kweli lipo? Story ni nyingi mtaani kuhusu kuibiwa na chuma ulete, ni kwamba uchawi upo ama ni mtu wa karibu anaiba? ama kuna janjajanja inayofanyika hatuijui?
Ahsante.