Nimeibiwa pesa zangu kwenye Kibubu na 'Chuma Ulete'

Nimeibiwa pesa zangu kwenye Kibubu na 'Chuma Ulete'

Hii nchi ina watu wajinga sana, hakuna tafiti yeyote ila watu wanakaa na imani za kipuuzi!
Ndo wale wale wanazidishia watu chenji baadaye utasikia chuma ulete, stupid!
 
Chuma ulete ipo lakini kama unamchepuko fundi Selemala na Kibubu akitengeneza yeye "I can't help it"
 
Ngoja nijaribu angalau niwe na ushuhuda.
Nitakuwa naweka 100 kila siku kwa siku 30.
 
Wakuu nina swali,

Kuna jamaa yangu amenihadithia kuwa alikuwa anatunza pesa kwenye Kibubu kwa muda wa miezi kadhaa na kwa kipindi hicho alikuwa anatumbukiza noti za pesa na coins pia. Lakini cha ajabu alivyokuja kuvunja alikuta coins mbili tu na moja ya Tshs. 200 ina tobo katikati.

Hivyo swali langu ni: Hili suala la chuma ulete ni kweli lipo? Story ni nyingi mtaani kuhusu kuibiwa na chuma ulete, ni kwamba uchawi upo ama ni mtu wa karibu anaiba? ama kuna janjajanja inayofanyika hatuijui?

Ahsante.
Nchi imejaa imani za kishenzi ndiyo maana watu wanaua mpaka watoto wadogo wenye ulemavu wa ngozi. Tanzania inatakiwa kila shule kuanznia darasa la kwanza wanafunzi wafundishwe kujitambua na kujiondoa kwenye imani potfu za ushirikina.
 
Kuna chuma ulete kuu, ipo ndani ya Serikali , inatafuna pesa za walipakodi bila huruma, hii tukipata dawa yake nchi itakua tajiri sana, chuma ulete ipo
 
Ni raia wamekusoma wametoka na pesa. Acha ujinga. Ndiyo nyie mnaua albino.
 
Back
Top Bottom