dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hatari.yaaan haya mambo kama hajakukuta huwezi elewa
Uliweka kwa muda gan iyo 20k?Nilijibana Sana nikawa najisavu elf 20 kwa kum Kil siku just nilifunjj kibubu nikakuta m1.4 wakt nilijuwa kbsa lzm IPO m 2 hv
yaaani niliweka hela si chini ya milioni nkakuta 13000 🙌🏿🙌🏿🙌🏿Pole sana mamy kumbe haya mambo kweli yapo
yaaani sitaki tena kibubu mimiChuma alipita na mzigo wako😹 pole, nasikia hivi vibubu usinunue kwa mtu usiemjua pia usinunue vile ready made, akutengenezee kipya unamuona.
makatoo😂😂😂Simu na bank hamuzioni
Tusimulie kidogo basi.....ilikuajeyaaani sitaki tena kibubu mimi
Vibubu, fundi akutengenezee hapo hapo na uondoke nacho, sio ununue vile ambavyo viko tayari. chuma ulete kweli yupoWakuu nina swali,
Kuna jamaa yangu amenihadithia kuwa alikuwa anatunza pesa kwenye Kibubu kwa muda wa miezi kadhaa na kwa kipindi hicho alikuwa anatumbukiza noti za pesa na coins pia. Lakini cha ajabu alivyokuja kuvunja alikuta coins mbili tu na moja ya Tshs. 200 ina tobo katikati.
Hivyo swali langu ni: Hili suala la chuma ulete ni kweli lipo? Story ni nyingi mtaani kuhusu kuibiwa na chuma ulete, ni kwamba uchawi upo ama ni mtu wa karibu anaiba? ama kuna janjajanja inayofanyika hatuijui?
Ahsante.
Wauza vibubu baadhi huwa wanaeka chuma ulete ndani ya vibubunililia nusu kuzimia
Hakuna cha chuma wala cha mbao apo kuna kaarufu cha wizi.Wauza vibubu baadhi huwa wanaeka chuma ulete ndani ya vibubu
Sawa mchinaHakuna cha chuma wala cha mbao apo kuna kaarufu cha wizi.
Mshauri asiweke tena kwa kibubu. Amps mtu amuwekee ili zikipotea amdai.Wakuu nina swali,
Kuna jamaa yangu amenihadithia kuwa alikuwa anatunza pesa kwenye Kibubu kwa muda wa miezi kadhaa na kwa kipindi hicho alikuwa anatumbukiza noti za pesa na coins pia. Lakini cha ajabu alivyokuja kuvunja alikuta coins mbili tu na moja ya Tshs. 200 ina tobo katikati.
Hivyo swali langu ni: Hili suala la chuma ulete ni kweli lipo? Story ni nyingi mtaani kuhusu kuibiwa na chuma ulete, ni kwamba uchawi upo ama ni mtu wa karibu anaiba? ama kuna janjajanja inayofanyika hatuijui?
Ahsante.
Aint no such thing as chuma ulete. Wabongo tunahusisha failure kwenye maisha na uchawi badala ya kuwajibika. Either kala yeye mwenyewe bila kuwa na nidham au kaibiwaWakuu nina swali,
Kuna jamaa yangu amenihadithia kuwa alikuwa anatunza pesa kwenye Kibubu kwa muda wa miezi kadhaa na kwa kipindi hicho alikuwa anatumbukiza noti za pesa na coins pia. Lakini cha ajabu alivyokuja kuvunja alikuta coins mbili tu na moja ya Tshs. 200 ina tobo katikati.
Hivyo swali langu ni: Hili suala la chuma ulete ni kweli lipo? Story ni nyingi mtaani kuhusu kuibiwa na chuma ulete, ni kwamba uchawi upo ama ni mtu wa karibu anaiba? ama kuna janjajanja inayofanyika hatuijui?
Ahsante.