Nimeibiwa pesa zangu kwenye Kibubu na 'Chuma Ulete'

Nimeibiwa pesa zangu kwenye Kibubu na 'Chuma Ulete'

Nilijibana Sana nikawa najisavu elf 20 kwa kum Kil siku just nilifunjj kibubu nikakuta m1.4 wakt nilijuwa kbsa lzm IPO m 2 hv
 

Attachments

  • IMG_20240611_215016_1.jpg
    IMG_20240611_215016_1.jpg
    1.5 MB · Views: 11
  • IMG_20240611_215019_0.jpg
    IMG_20240611_215019_0.jpg
    1.5 MB · Views: 10
niliwah kusikia kuwa vipo vibubu vinauzwa vikiwa vishachezewa tayari, ukiweka fedha unawawekea wakuu
 
Dunia haina Siri,,kuna mjanja amekuchora kitambo kazikwapua kiulaini
 
Wakuu nina swali,

Kuna jamaa yangu amenihadithia kuwa alikuwa anatunza pesa kwenye Kibubu kwa muda wa miezi kadhaa na kwa kipindi hicho alikuwa anatumbukiza noti za pesa na coins pia. Lakini cha ajabu alivyokuja kuvunja alikuta coins mbili tu na moja ya Tshs. 200 ina tobo katikati.

Hivyo swali langu ni: Hili suala la chuma ulete ni kweli lipo? Story ni nyingi mtaani kuhusu kuibiwa na chuma ulete, ni kwamba uchawi upo ama ni mtu wa karibu anaiba? ama kuna janjajanja inayofanyika hatuijui?

Ahsante.
Vibubu, fundi akutengenezee hapo hapo na uondoke nacho, sio ununue vile ambavyo viko tayari. chuma ulete kweli yupo
 
Ila kuna watu wanajitia wajuzi kwenye nyuzi za wenzao. Eti 'utakuwa uliibiwa', mara 'ulikutana na mjanja'. Sometimes unakuta huyo aliyepoteza pesa anaishi peke yake, so hana risk ya kuibiwa na ndugu wa karibu.

Na kama mwizi anatokea nje, iweje aibe pesa kadhaa halafu akuachie nyingine? Yaani una 2 M, aibe laki 6 tu? Hakuna mwizi mjinga wa hivyo. Huyo ni Reap bring tu.
 
Kaibiwa na mke au tuseme wana familia, huwa wanajua mbinu za kutoa hela humu ndani.

Hela itunzwe benki au huku mitandaoni.

Watu wana mbinu za kuiba
 
Hii nchi bado wajinga wengi tatizo sio katiba wala CCM. Watu na ndevu zao wanaamini uzwazwa wa Chuma ulete. Smh
 
Wakuu nina swali,

Kuna jamaa yangu amenihadithia kuwa alikuwa anatunza pesa kwenye Kibubu kwa muda wa miezi kadhaa na kwa kipindi hicho alikuwa anatumbukiza noti za pesa na coins pia. Lakini cha ajabu alivyokuja kuvunja alikuta coins mbili tu na moja ya Tshs. 200 ina tobo katikati.

Hivyo swali langu ni: Hili suala la chuma ulete ni kweli lipo? Story ni nyingi mtaani kuhusu kuibiwa na chuma ulete, ni kwamba uchawi upo ama ni mtu wa karibu anaiba? ama kuna janjajanja inayofanyika hatuijui?

Ahsante.
Mshauri asiweke tena kwa kibubu. Amps mtu amuwekee ili zikipotea amdai.
 
Wakuu nina swali,

Kuna jamaa yangu amenihadithia kuwa alikuwa anatunza pesa kwenye Kibubu kwa muda wa miezi kadhaa na kwa kipindi hicho alikuwa anatumbukiza noti za pesa na coins pia. Lakini cha ajabu alivyokuja kuvunja alikuta coins mbili tu na moja ya Tshs. 200 ina tobo katikati.

Hivyo swali langu ni: Hili suala la chuma ulete ni kweli lipo? Story ni nyingi mtaani kuhusu kuibiwa na chuma ulete, ni kwamba uchawi upo ama ni mtu wa karibu anaiba? ama kuna janjajanja inayofanyika hatuijui?

Ahsante.
Aint no such thing as chuma ulete. Wabongo tunahusisha failure kwenye maisha na uchawi badala ya kuwajibika. Either kala yeye mwenyewe bila kuwa na nidham au kaibiwa
 
Back
Top Bottom