Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amewakosea ram Mayu Deeboyfrexh ndolelejiUduhe OKW BOBAN SUNZU,Kama unaibiwa hela kiboya ukiwa singida,siku ukienda Dar watakuiba na wewe mwenyeww
Hicho ni kitita mkuuSasa hiyo ni pesa ya kulalamika mkuu mbona pesa ndogo Sana hata kiwanja haupati huku kigamboni Cc ephen_
🤣😁Hicho ni kitita mkuu
Una transfer vipi fedha kabla ya hio pesa unayo transfer as value ujaiweka kwanza physical, so utawekaje fedha hio physical bila kutembeanayo.Unatembeaje na fedha taslim kiasi hicho kwenye hii Dunia ya sasa yenye teknolojia ya kila aina ya money transfer?
Facts, angekuwa hata simu hajui ilipoNinavyofahamu sis wabongo huwezi kuibiwa hela nyingi hivyo halafu ndani ya nusu saa tu kapata muda wa kuingia sosho midia.
🤣🤣🤣🤣Mimi mwenyewe nimeibiwa million 12 Nilikuwa nimeweka kwenye gari yangu G-Wagon
😆😆😆Mimi nimedondosha buku kwenye daladala asubuhi hii hapa hata hamu ya kula sina kwa sababu ya mawazo, ingekuwa nimimi nimeibiwa iyo 5m ningezimia nife.
We acha tu! Mpeni U-rais wa nchi Tundu Lissu ndio utaijua Singida.Unaibiwa singida????.....