Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Comments reservedNi kweli ulichosema, lakini njia hii haitasaidia kitu chochote kile endapo kama IMEI ya simu husika itabadilishwa.
Siku hizi wezi wanabadilisha kwanza IMEI ya simu kabla hajaanza kuitumia hiyo simu ya wizi.