- Thread starter
- #21
Sasa kama naweza kupanda ndege bado unazungumzia chakula? Inaonyesha either you are not serious or your IQ haipo sawa. Chakula unazungumzia ni cheaper kuliko fueliliyonipeleka Airport.Ulikula mchana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama naweza kupanda ndege bado unazungumzia chakula? Inaonyesha either you are not serious or your IQ haipo sawa. Chakula unazungumzia ni cheaper kuliko fueliliyonipeleka Airport.Ulikula mchana
Kuna wezi pale ukiweka vitu vya thamani una risk.Kwenye suala la wizi simuwekei mtanzania dhamana
There you are.Unadhani lock inazuia wezi? Sijui huwa wanafanyaje lakini nishaibiwa wakati sanduku lilikuwa na lock. Ni Johanesburg lakini. Lock, pengine iwe ni ziwe lock complicated na sanduku liwe zuri ki-uimara.
IQ ndogo. Sasa mimi niliyeibiwa ni raia wa wapi? Huenda hujawahi panda ndege wewe. Mimi naweka awareness kwa watumiaji wa ile terminal.Anataka kuchafua nchi yetu
Si show off. Wanaudhi, siku wakimwibia mzungu itaenda kwenye travel agency.JF interpol wamekusikia.
Pia Hongera kwa kupanda ndege
Huo ni ukweliKuna wezi pale ukiweka vitu vya thamani una risk.
Mkuu Pole sana. Nakushauri toa ripoti kwa uongozi wataangalia mchakato wa uhudumiwaji wa begi lako kuangalia changamoto kama ilitokea.Kila eneo kuna Camera, rudi wataangalia, kuna jamaa hivyo hivyo kumbe kaviacha huko kwa motokaa nje.
Its a learning curve, kutokuweka vitu vya thamani. Nilifunga kabisa na box, then mifuko ya Magufuli Dah jamaa still kaotea. Hatari sana.Masanduku yenye zip ni changanoto hata ukilock,wanatumia kalamu kuingiza kwenye zipu inaachana wanaiba na kufunga na wala hutajua,niilibiwa nami perfume na camera kwa mtindo huu
Yaani hapo kwenye perfume ni ukweli mkuu hata mimi Mumewangu aliibiwa .Masanduku yenye zip ni changanoto hata ukilock,wanatumia kalamu kuingiza kwenye zipu inaachana wanaiba na kufunga na wala hutajua,niilibiwa nami perfume na camera kwa mtindo huu
Asante kutupa taarifa mimi ni kati ya watu ambao sijawahi kuzoea kusafiri, sijawahi zoea ule usumbufu uliyopo airport, changamoto ni nyingi sana airport mpaka nafika roho iko juu, mara mizingo yangu nipungize dah. Na hapo ni hapa bongo nchi za watu si nitakoma?IQ ndogo. Sasa mimi niliyeibiwa ni raia wa wapi? Huenda hujawahi panda ndege wewe. Mimi naweka awareness kwa watumiaji wa ile terminal.
Kwani nani huwa anaandika humu na kuleta ushahidi?Tukuaminije mkuu
Urudipo safari, ripoti kwa uongozi ya uwanja, hiyo camera unaijua ilipo?.."are you real"Nirudi kusngalia Kamera are you real?
Sasa unataka tukusaidiaje ww matako nn au umeolewa huko marekani kakolo ladySijui kama unajua unachoandika. Nitoke huku nilipo kwenda kuangalia cctv? Unajua how to access cctv siyo kama unavyofikiria. Inaonyesha upeo wako ukoje either mkubwa sana au otherwise. Ni sensible ukiacha ku comment kuliko ulivyo comment.
CCTV zipo kaangalie
Hana hiyo access! , akirudi safari, atoe taarifa kwa uongozi wa kiwanja, watafuatlia siku aliyosafiri akiwa pale nje public concourse hadi akicheki in pale screen point ya departure na ya final check....abiria akisahau vinahifadhiwa ukirudi unapewa vitu vyako.CCTV zipo kaangalie