BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Vipo Sana hivi vitu..usibisheTukuaminije mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipo Sana hivi vitu..usibisheTukuaminije mkuu
Usitumie neno suna mkuuKwa watanzania wizi udokozi ni suna
SawaUsitumie neno suna mkuu
I wish nafikiri itakuwa dawasiku nyengine weka upupu kwenye perfume
Perfume mkuu.Umeibiwa perfume sio!!
Nili report kuna email za wahusika. Hamna anayejali hata ku acknoledge tu.Urudipo safari, ripoti kwa uongozi ya uwanja, hiyo camera unaijua ilipo?.."are you real"
Sidhani kama wana hiyo customer care. Nilipogundua nikatafuta contact za wahusika. Nikawatumia email, flight number na boarding pass. Hamna aliye respond ndio nikaamua nije huku kuweka awareness asiibiwe mwingine kama nilivyoibiwa.Hana hiyo access! , akirudi safari, atoe taarifa kwa uongozi wa kiwanja, watafuatlia siku aliyosafiri akiwa pale nje public concourse hadi akicheki in pale screen point ya departure na ya final check....abiria akisahau vinahifadhiwa ukirudi unapewa vitu vyako.
Mkuu ukienda pale kama kweli vitu vyako vimeibwa basi utavipata au hatua itachukuliwa.Sidhani kuandika kitu kama hiki cha uongo nanufaika na nini. Najua sitavipata fine lengo langu kuweka awareness kwa wasafiri wengine kuwa pale si salama. Kama nadanganya wa track begi langu nimeli identify.
Comments za watu acha tu. Ila nilipo complain kwa kutuma email niliweka hivyo vitu kama boarding pass, ikiwa na info zote. No one even tried to acknoledge hata kwa automatic email kuwa wamepokea. No.Kwani nani huwa anaandika humu na kuleta ushahidi?
Watu wajanjajanja.Africa patamu sana ila comments za huu vichekesho balaa.
Ni vitu ambavyo huwezi ingia navyo kwenye hand luggage.90% ya wanao lalamika kuibiwa airport huwa wame ibia perfume na mafuta ya kupaka....i wonder [emoji848]
Vikiwa kwenye Check-in bag hamna shida, ila kwenye bag unaloingia nalo kuweka kwenye cabin hawaruhusu.Hivi siku hizi unaruhusiwa kusafiri na perfume au nilipanda ndege za kizamani? Itakuwa ni uzembe wa namna gani huu kuruhusu hiki kitu! Hujui kuwa perfume inaweza kuwa ni zuga kikawa ni kimiminika au gesi ya kusababisha mlipuko kwenye ndege? Perfume yaweza kuwa ni gesi au hewa ya kulevya mtu akipuliza kwenye ndege abiria na rubani wakasinzia? Vipi ikiwa ni sumu mtu akipuliza watu wote wanakufa kwenye ndege? Sidhani kama maafisa wa usalama wa viwanja vya ndege waweza kuwa wazembe kiasi hiki kuruhusu kitu kama hicho. Kitakuwa kimewarahisishia magaidi kazi ya kuua bila bunduki au bomu
🤣🤣🤣🤣Sasa unataka tukusaidiaje ww matako nn au umeolewa huko marekani kakolo lady
Tangu tarehe hiyo ndiyo unalalamika leo kiongoziNimetumia huu uwanja Tar 28.03.2024 nikienda Qatar. Nafika Qatar mashine yangu ya Pressure na perfume havimo kwenye bag ambalo nili check in. Aibu sana kwa Kweli.
Hukububujikwa na machozi? Lucas MwashambwaNimetumia huu uwanja Tar 28.03.2024 nikienda Qatar. Nafika Qatar mashine yangu ya Pressure na perfume havimo kwenye bag ambalo nili check in. Aibu sana kwa Kweli.