Nimeichukia sana Dar

Nimeichukia sana Dar

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Dar nilipaona pazuri sana.

Ila baada ya kuhamia huku mkoani aisee nimetokea kupachukia sana dar.

Dar unakuwa na hela ila matumizi mengi na ya ajabu.

Vurugu nyingi. Mfano mimi kulala dar ilikuwa nalala kila siku saa sita usiku naamka saa kumi na moja.

Huku mkoani, saa mbili tu wote tunaota ndoto nyevu.

Mtu akiniambia nirudi Dar nitampiga kofi mpaka azimie.
 
WaTanzania wengi ambao hawajaishi nje ya Dar hua wana beza mikoani, lakini once wanapo pata wasaha wa kuishi kidogo mikoani hua wanaichukia Dar
Na mtu yeyote ambae atathubutu kuishi out of the comfort zone, lazima ataona mabadiliko na kufurahia maisha
 
Pole sana mkuu kwa kuchelewa kujua hilo dar waachie kina bhakhersa na mama kizimkazi wanao enda nyumbani kwa vingora ila sisi wengine tunao ninginia kwenye daradara kama kozi ya ukondakta ni maumivu makubwa.
 
Mkoani njaa kali,,, mzunguko wa pesa mdogo,,,,plus ujanja ujanja /sayansi ya kale/uchawi !!!!! Dsm ukiishi kwa akili ni rahisi kutoboa kuliko mkoani ,, ! Akili kichwani mwako, kila mtu ana namna anataka kuyaweka maisha yake kulingana na standards alizojiwekea ! Dar kuna kero zake pia mfano joto, foleni n.k
 
Mkoani njaa kali,,, mzunguko wa pesa mdogo,,,,plus ujanja ujanja /sayansi ya kale/uchawi !!!!! Dsm ukiishi kwa akili ni rahisi kutoboa kuliko mkoani ,, ! Akili kichwani mwako, kila mtu ana namna anataka kuyaweka maisha yake kulingana na standards alizojiwekea ! Dar kuna kero zake pia mfano joto, foleni n.k
Dar siitaki hata useme nini
 
Mkoani njaa kali,,, mzunguko wa pesa mdogo,,,,plus ujanja ujanja /sayansi ya kale/uchawi !!!!! Dsm ukiishi kwa akili ni rahisi kutoboa kuliko mkoani ,, ! Akili kichwani mwako, kila mtu ana namna anataka kuyaweka maisha yake kulingana na standards alizojiwekea ! Dar kuna kero zake pia mfano joto, foleni n.k
Dsm ipi rahisi kutoboa? Em acha kudanganya umma hapa. Lol

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom