Nimeichungulia hii mahala na imenishtua kwa kiasi fulani hivi je, ina ukweli wowote kwa Wahusika wa hilo Eneo?

Nimeichungulia hii mahala na imenishtua kwa kiasi fulani hivi je, ina ukweli wowote kwa Wahusika wa hilo Eneo?

Aliyetajwa ni yule ambaye yeye na wanafunzi wake walikuwa wakisakwa na kuuwawa na warumi, kule palestine

Sie yule aliyeanzisha ukristo antiokia itali ambae anafatwa na wakristo wa leo
Baada ya kuona tu hii ID yako wala sijataka Kupoteza muda wangu Kukuelewa kwani nilitegemea ungejibu ulivyojibu Ok?
 
Kwamba katika Kitabu kitakatifu cha Dini ya Kiislamu cha QURAN Yesu Kristo katajwa sana tu kuliko Mtume Mohammad?
Nafikiri unamzungumzia Nabii Issa a.s.Kama ni huyo Qur’an imetaja majina la manabii wengine kuliko Mtume Muhammad S.A.W kwa sababu yeye ndiye alikuwa anasimuliwa habari za mitume iliyopita na Allah.
Sasa katika kumpa habari mtu huwezi kutaja sana jina la mpewa habari lakini utataja sana majina ya wahusika waliopo kwenye hiyo habari
 
Ndiyo, katika Qur'an, Yesu Kristo (Isa bin Maryam) ametajwa kwa jina mara nyingi zaidi kuliko Mtume Muhammad (SAW).

Jina la Isa bin Maryam linatajwa mara 25 kwenye Qur'an, pamoja na rejea nyingi zinazomhusu moja kwa moja bila kumtaja kwa jina. Mfano kwenye Qur’an 3:45 na Qur’an 43:63
Muhammad limetajwa mara 4 kwa uwazi, na pia kwa jina la Ahmad mara 1 kwenye Qur'an 61:6, ikifanya jumla ya mara 5.

Sasa genta kwann unafanya kama uchochezi wa dini. Yesu katajwa sana kwasababu, Qur'an inasimulia kwa kina kuzaliwa kwa Isa na nafasi ya mama yake, Maryam, ambaye pia ametajwa mara nyingi.
Isa ni mhusika muhimu kwa Wayahudi na Wakristo, hivyo Qur’an inampa nafasi kubwa kufafanua msimamo wa Kiislamu kuhusu yeye.
yesu anatambulika kwa miujiza mingi, kama kuzaliwa bila baba, kuponya wagonjwa, na kufufua wafu, hivyo Qur’an inamtaja ili kuthibitisha utume wake.

Alafu naomba ufahamu Muhammad (SAW) ni mzungumzaji wa Qur’an. Mtume Muhammad ndiye aliyeteremshiwa Qur’an, hivyo si mara nyingi anatajwa kwa jina bali anarejelewa kama "Mtume" au "Mjumbe wa Allah".

Kwa hivyo, ingawa Muhammad (SAW) ni mtume wa mwisho na mwenye nafasi ya juu katika Uislamu, Yesu (Isa) ametajwa zaidi kwa jina kwa sababu ya nafasi yake katika historia ya dini na hoja zinazohusiana na yeye.
 
Ukisoma vizuri Bible na Quran utagundua Quran ni mwendelezo wa Bible kwani maudhui mengi hufanana.

Wote wanao amini katika Mungu walipaswa waamini vitabu vyote viwili.
 
Ndiyo, katika Qur'an, Yesu Kristo (Isa bin Maryam) ametajwa kwa jina mara nyingi zaidi kuliko Mtume Muhammad (SAW).

Jina la Isa bin Maryam linatajwa mara 25 kwenye Qur'an, pamoja na rejea nyingi zinazomhusu moja kwa moja bila kumtaja kwa jina. Mfano kwenye Qur’an 3:45 na Qur’an 43:63
Muhammad limetajwa mara 4 kwa uwazi, na pia kwa jina la Ahmad mara 1 kwenye Qur'an 61:6, ikifanya jumla ya mara 5.

Sasa genta kwann unafanya kama uchochezi wa dini. Yesu katajwa sana kwasababu, Qur'an inasimulia kwa kina kuzaliwa kwa Isa na nafasi ya mama yake, Maryam, ambaye pia ametajwa mara nyingi.
Isa ni mhusika muhimu kwa Wayahudi na Wakristo, hivyo Qur’an inampa nafasi kubwa kufafanua msimamo wa Kiislamu kuhusu yeye.
yesu anatambulika kwa miujiza mingi, kama kuzaliwa bila baba, kuponya wagonjwa, na kufufua wafu, hivyo Qur’an inamtaja ili kuthibitisha utume wake.

Alafu naomba ufahamu Muhammad (SAW) ni mzungumzaji wa Qur’an. Mtume Muhammad ndiye aliyeteremshiwa Qur’an, hivyo si mara nyingi anatajwa kwa jina bali anarejelewa kama "Mtume" au "Mjumbe wa Allah".

Kwa hivyo, ingawa Muhammad (SAW) ni mtume wa mwisho na mwenye nafasi ya juu katika Uislamu, Yesu (Isa) ametajwa zaidi kwa jina kwa sababu ya nafasi yake katika historia ya dini na hoja zinazohusiana na yeye.
Umezungumza vyema kabisa!!!
Lakini hapo uliposema Muhammad ni mzunguzaji wa Qur’an sio kweli mzungumzaji wa Qur’an ni Allah.
 
Ndiyo, katika Qur'an, Yesu Kristo (Isa bin Maryam) ametajwa kwa jina mara nyingi zaidi kuliko Mtume Muhammad (SAW).

Jina la Isa bin Maryam linatajwa mara 25 kwenye Qur'an, pamoja na rejea nyingi zinazomhusu moja kwa moja bila kumtaja kwa jina. Mfano kwenye Qur’an 3:45 na Qur’an 43:63
Muhammad limetajwa mara 4 kwa uwazi, na pia kwa jina la Ahmad mara 1 kwenye Qur'an 61:6, ikifanya jumla ya mara 5.

Sasa genta kwann unafanya kama uchochezi wa dini. Yesu katajwa sana kwasababu, Qur'an inasimulia kwa kina kuzaliwa kwa Isa na nafasi ya mama yake, Maryam, ambaye pia ametajwa mara nyingi.
Isa ni mhusika muhimu kwa Wayahudi na Wakristo, hivyo Qur’an inampa nafasi kubwa kufafanua msimamo wa Kiislamu kuhusu yeye.
yesu anatambulika kwa miujiza mingi, kama kuzaliwa bila baba, kuponya wagonjwa, na kufufua wafu, hivyo Qur’an inamtaja ili kuthibitisha utume wake.

Alafu naomba ufahamu Muhammad (SAW) ni mzungumzaji wa Qur’an. Mtume Muhammad ndiye aliyeteremshiwa Qur’an, hivyo si mara nyingi anatajwa kwa jina bali anarejelewa kama "Mtume" au "Mjumbe wa Allah".

Kwa hivyo, ingawa Muhammad (SAW) ni mtume wa mwisho na mwenye nafasi ya juu katika Uislamu, Yesu (Isa) ametajwa zaidi kwa jina kwa sababu ya nafasi yake katika historia ya dini na hoja zinazohusiana na yeye.
KAMA HAKUKUELEWA ANA JAMBO LAKE.
 
Nafikiri unamzungumzia Nabii Issa a.s.Kama ni huyo Qur’an imetaja majina la manabii wengine kuliko Mtume Muhammad S.A.W kwa sababu yeye ndiye alikuwa anasimuliwa habari za mitume iliyopita na Allah.
Sasa katika kumpa habari mtu huwezi kutaja sana jina la mpewa habari lakini utataja sana majina ya wahusika waliopo kwenye hiyo habari
😂😂😂
 
Hii mbona Haina maajabu! Kaangalie hukumu za jinai MTUHUMIWA anatajwa mara nyingi kuliko mlalamikaji!

Kutajwa mara nyingi kwa MTUHUMIWA hakumuondolei hatia!

Hata shetani katajwa mara nyingi zaidi!
 
MOJA YA TOFAUTI KUU KATI YA UKRISTO NA UISLAMU.
DINI MOJA IKO TAYARI KUUKASHIFU NA KUUA WATU WA DINI YA PILI,ILI WAPATE KUWA WATAKATIFU
DINI YA PILI WAO WANA SHUGHULIKA NA IMANI YAO NA MUNGU WAO NA MITUME WAO!
WATU WA DINI YA KWANZA NDIO WASOMAJI WAKUBWA WA BIBLIA
WATU WA DINI YA PILI HATA HAWAJUI QURAN INAFANANAJE!
HATA WALE MITUME NA MANABII FEKI, HAWANA MUDA WA KUHUBIRI YALIYO YA DINI YA KWANZA.
 
Back
Top Bottom