Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani



I miss Lara kwa kweli, Sijui yupo wapi?
 
Malcolm Lumumba na Fisadi kuu umewasahau..
 
Asante sana mkuu
Vip kuhusu WARUMI na habari za ndani kabisa za watu tofauti?
 
Kulikuwa na jamaa anaitwa Moneystuna, siku hiz nikionaga Money penn ndo najua mwenyewe, Kipindi fulani aliekuwa mpiga picha wa Diamond bwana Kifesi alikuwa na accoun yake ya Heaven on Desert, alikuwa anakabiliwa na hali ngumu sana humu jukwaani

Ila JF inabadilika kila mwaka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo mkwara hapo mwisho umesababisha nisahau kabisa nilivyotaka kukushushua.
 
Hata ya sasa inanoga inategemea ni siku ipi na jukwaa lipi msomaji anapendelea,

Kila mtu yuko na interest zake hatufanani, na vile vile kuna ID zinatema mapumba tu hivyo kuepuka msongamano sichangiagi mada akikera zaidi unaclick kablock makini maisha yanaenda

Weekend kunanoga sana humu mmu,

Mimi nashukuru kukufanya nikuvutie Edelyn vile vile mi napenda tu ulivyo na moyo wa kushushia watu wabishi magazeti ni moyo wa kipekee sana yaani hongera maana mi mtu akibisha huwa nampa ushindi tu sijihangaishi na kushushia mbishi gazeti lakini kwako ni tofauti na nikiyakutaga nakupaga like km kifuta jasho loh

Nawapenda wote tu mimi kutaja humu hata siwamalizi wengine nawasahau majina
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana mimi ni mgeni sema tu nimekuja kwa kasi ya 5G zamani nilikuwaga mpenzi mtazamaji ila mwaka huu na mimi nikaanza kuwa mpenzi mtangazaji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Basi ni vyema mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…