Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

Hata ya sasa inanoga inategemea ni siku ipi na jukwaa lipi msomaji anapendelea,

Kila mtu yuko na interest zake hatufanani, na vile vile kuna ID zinatema mapumba tu hivyo kuepuka msongamano sichangiagi mada akikera zaidi unaclick kablock makini maisha yanaenda

Weekend kunanoga sana humu mmu,

Mimi nashukuru kukufanya nikuvutie Edelyn vile vile mi napenda tu ulivyo na moyo wa kushushia watu wabishi magazeti ni moyo wa kipekee sana yaani hongera maana mi mtu akibisha huwa nampa ushindi tu sijihangaishi na kushushia mbishi gazeti lakini kwako ni tofauti na nikiyakutaga nakupaga like km kifuta jasho loh

Nawapenda wote tu mimi kutaja humu hata siwamalizi wengine nawasahau majina
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asante dada ila kiukweli hata mimi huwa nachoka kuwashushia magazeti vichwa ngumu wanaoujua ukweli ila wanajitoa ufahamu sema basi tu sijui ni vile napenda sana kuandika ndo maana huwa nakomaaga nao daah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo mkwara hapo mwisho umesababisha nisahau kabisa nilivyotaka kukushushua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Bora hata
 
@rockcitynative kapotea sana. Maveterani wapo wanapita kimya kimya. Husninyo sijui kaishia wapi. Pia walikuwepo maveterani Balantanda, BAK, MTK, Mourinho na mshaji wake juve2012.

Ila aliyenishawishi na kuijua zaidi jf ni Mzee Mwanakijiji. Kupitia makala zake kwenye gazeti la Tanzania daima. Baada ya kuwa member nikamkuta mama FaizaFoxy. Jf ni sehemu yangu ya kupumzikia. Source yangu ya habari na pia habari za michezo.

Kule jukwaa la sports, wapo watu nawakubali sana. Namba 1 kabisa ni MosDef shabiki nguli wa liverpool. Gang Chomba na milan yake na lugha za shombo namzimia sana. BlackPanther mjuvi wa soka la juu, sio la bongo. Masports laddy cute b, @everlank, Numbisa mamaa wa gif.

Kwenye jukwaa la picha Mama Sabrina yupo vizuri. Kule kwenye celeb kiranja wao ni warumi japo nasikia kampokea bwana yesu kuwa mwokozi wa maisha yake.

Wakonge.

Asprini
Bujibuji
Ashaa d
Invisible
BAK
Balantanda
Arusha one
Mbu
Inzi
Game theory
Rejao
FF
 
@rockcitynative kapotea sana. Maveterani wapo wanapita kimya kimya. Husninyo sijui kaishia wapi. Pia walikuwepo maveterani Balantanda, BAK, MTK, Mourinho na mshaji wake juve2012.

Ila aliyenishawishi na kuijua zaidi jf ni Mzee Mwanakijiji. Kupitia makala zake kwenye gazeti la Tanzania daima. Baada ya kuwa member nikamkuta mama FaizaFoxy. Jf ni sehemu yangu ya kupumzikia. Source yangu ya habari na pia habari za michezo.

Kule jukwaa la sports, wapo watu nawakubali sana. Namba 1 kabisa ni MosDef shabiki nguli wa liverpool. Gang Chomba na milan yake na lugha za shombo namzimia sana. BlackPanther mjuvi wa soka la juu, sio la bongo. Masports laddy cute b, @everlank, Numbisa mamaa wa gif.

Kwenye jukwaa la picha Mama Sabrina yupo vizuri. Kule kwenye celeb kiranja wao ni warumi japo nasikia kampokea bwana yesu kuwa mwokozi wa maisha yake.

Wakonge.

Asprini
Bujibuji
Ashaa d
Invisible
BAK
Balantanda
Arusha one
Mbu
Inzi
Game theory
Rejao
FF
Ooooooow!!! Asante sana Ziroseventytwo.
 
Kwakweli unastahili pongezi kwa kuwarekebisha hawa vichwa ngumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asante dada ila kiukweli hata mimi huwa nachoka kuwashushia magazeti vichwa ngumu wanaoujua ukweli ila wanajitoa ufahamu sema basi tu sijui ni vile napenda sana kuandika ndo maana huwa nakomaaga nao daah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kila zama na zama zake well hata mie walonivutia kujiunga na jf walikuwa lara 1 , DEMBA heven on earth Kaizer Dark City Mentor
Nilikuwa nafurahia namna tu wanavyojamiiana humu ndani, sijawahi kujutia kujiunga.

Well naipenda jf the way ilivyo hata sasa na navutiwa na watu wengi tu kwa michango yao na namna tunavyojamiiana. Jf huifanya siku yangu kuwa murua kabisa

cute b Mentor Heaven Sent manengelo Extrovert Khantwe Evelyn Salt Mother Confessor Madame B MO11 Kaboom Eli79 Hawachi Shadeeya Ulweso Edelyn manengelo @meeya RRONDO Shunie Sakayo Thad The Monk
na wengine weeeeeengi ambao sijawataja.
Namna tunavyojamiiana tu ndio nimependezwa nayo.[emoji23][emoji23][emoji23]

BTW, I appreciate your inputs too.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana mimi ni mgeni sema tu nimekuja kwa kasi ya 5G zamani nilikuwaga mpenzi mtazamaji ila mwaka huu na mimi nikaanza kuwa mpenzi mtangazaji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe ni mgeni ila mwandiko wako umezeeka[emoji23]. Huwa unanikumbusha enzi hizo Heaven Sent akiwa active, alikuwa akiandika newspapers zenye kilo mia.
 
Back
Top Bottom