Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmejuajeeeeAuntie njoo unywe uji.
Christine Ibrahim [emoji23] umepotea sana mpendwa.Duh,tupoooo tu
Ila tunapita tu sio km zamani
Sijawahi kuchukia viboko vyako[emoji23][emoji23] Naomba nimtaje basiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eli nitakuchapa ujue.
Labda alisha kufa, maana miaka imekuwa mingiKuna jamaa alikuwa anaitwa @pauldesouza. Jamaa alikuwa anaongea kiingereza flani hivi, jamaa sijui alipotelea wapi asee...
Yaah..Na yuko teyari kusaidia pale unapo itajiHanaga threads za kijinga kama baadhi ya members wanaokuzwa kwenye huu uzi, jamaa ni very talented, genius and humbled.
Ilikuwa inaitwa 'Jambo Forums'Asante SG8 watu watalumba ila jamiiforum ya zamani was the best
Kama mtu haonekani zaidi ya miezi sita,unaweza kubuni labda ameenda mbinguniLabda alisha kufa, maana miaka imekuwa mingi
Wewe unashangaza sana..!!!!Humu kuna member anaitwa lifecoded anatema madini sio ya kawaida,jamaa hana majivuno wala hajitapi kabisa! kuna FaizaFoxy huyu anakujibu kwa fact with an evidence,huyu hua anadeal na mtu kama atakavyokuja,ukumuheshimu anakuheshimu,ukimletea lugha mbovu anakupokea kama ulivyokuja,
Kuna huyu Mentor shabiki wa Chelsea,anamwaga madini utatamani apewe Taifa stars awe kocha! pia kuna Pascal Mayalla huyu yupo vizuri ila asijiingize kwenye chuki za udini,mkuu barafu yupo vizuri hasa mambo ya aviation industry,
Kifupi nawakubali member wote wa JF coz kila mtu ana style yake,hatuwezi kufanana,utofauti wetu ndio unaouikamilisha jamii,jamii haiwezi kuendelea kama itakua na watu wanaofanana na wanaowaza sawa!
Long live JF.
Paulo sergio D'souzaKuna jamaa alikuwa anaitwa @pauldesouza. Jamaa alikuwa anaongea kiingereza flani hivi, jamaa sijui alipotelea wapi asee...
Huyo wa insta simjui mkuu
Simjui mkuuYule aliesambaza picha za gwajima ukisoma ki ngeleza chake utajua tu ni yeye
Anatumia instagram mkuuSimjui mkuu