Okay,
Siku nyingi sana nilikuwa natamani nianzishe thread na mada nilikuwa nayo lakini sikufanya hivyo hadi leo hii.
Nakumbuka back then nilikuwa advance nafkiri ndipo nilipo kutana na jamiiforumz mtandaoni tu kama bahati. Nikazama ndani and what i saw kilifurahisha macho yangu sana na ikawa ndo tabia yangu kila siku japo sikuwa na uwezo wa kucomment wala kuanzisha thread sababu sikuwa na account.
Kilichonifanya nianzishe hii thread ni members waliokuwa wananipendeza sana nikiona thread au comment zao.
Nitawataja lakini ukikosekana humu na wewe ni mhenga usijisikie vibaya bali comment na mimi nitakuacknowledge.
1- lara1, huyu was one of a kind... Alikuwa ni mtunzi mzuri sana wa hadithi tamu ambazo watu walikuwa wanasubiri muendelezo wa hadithi zake kwa shauku saaana. Alikuwa na mashauzi flani hivi with an amaizing english. lara 1 alikuwa pia famous apa ndani enzi hizo kwa sababu nilikutaga kamjadala ka jamiiforum party iliofanyika na members mbalimbali walikutana akiwemo lara.
2- watu 8, i dont remember so much about him ila ni kama huwa namuona ona bado humu ndani sio kama lara 1. watu 8 yeye alipenda kujiclassify kama mhenga. Huwa ana majibu yake flani flani yanayojitofautisha na watu wengine. Back then usingeweza kukosa jibu kama vile 'jamani shule zinafunguliwa lini?' maswali kama haya ni kwa sababu ya kukerwa na mada za uongo na za kitoto. Wenyewe waliziita chai.
3- kasie, bidada huyu ana majibu kuntu. Unaweza kupata shushu ukaenda kulala. Avatar yake ni ya mama mtu mzima sana lakini vitu anavyopost huwa vinawafanya watu kujiuliza maswali. Thread zake nyingi nilizoziona ni kuhusu baecation zake anazoendaga na how they did it like siku moja alipost how nice it was having sex kuendana na beat ya muziki na mpenzi wake ilivyokuwa.
4- heavensent, not much about her lakini nakumbuka alikuwa admired sana na wanaume waliokuwapo japo unaweza kusema ilikuwa ni utani tu.
5- Mentor, huyu bwana nilikuwa natamanigi sana nimuone tu hata yeye mwenyewe alivyo japo sijawahi kufanikiwa. Sikumoja alipost story ya maisha yake and how aliendup kuambukizwa ukimwi. Story zake chini kabisa huwa anamalizia na 'wassalam, Mentor'. Nae ni mhenga.
6- Mshana jr, huyu avatar yake kulikuwa na mbaba hivi kibonge. Kati ya watu wote jamiiforumz, avatar yake ni kati ya chache nilizowahi kuhisi ni avatar za kweli. Kama sijamchanganya na mtu mwingine basi yeye alipenda mambo ya uganga uganga sana.
7-Bujibuji, nimemkumbuka tu kwa sababu ya comments zake. Nae ni mhenga.
8- Mzizimkavu, huyu ni daktari wetu. Hakuna anaebisha nadhani. Kukiwa na kapost ya kaugonjwa lazima awe tagged. Nae pia kama sijamchanganya nafkiri ni yeye aliemjibu Mentor kwenye thread yake ya sitaki dawa jinsi ukimwi ulivyo kisaikolojia zaidi and was ready to help.
Nimeikumbuka sana jamiiforums ya zamani. Jamiiforums ambayo ulikuwa ukitaka kuanzisha thread kwanza unajipima wewe na hiko unachotaka kukiwasilisha sio unajikurupukia tu unaandika andika. Back then mada zilikuwa kuntu. Ukikuta mtu anaomba ushauri basi ujue kweli yamemfika. Na kama ni uongo (chai) utawaskia tu members majibu yao jinsi ambavyo hayako serious. Zamani mada za ooh jinsi kumla housegirl oooh, oooh jinsi ya kuchepuka usikamatwe, mara mwingine kaja na thread kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani kulikuwa hakuna.
Tatizo sijajua ni nini ila ninachoweza kuanalyse ni kwamba zamani MMU ilikuwa ina nidhamu utafkiri umeingia jukwaa la great thinkers sio siku hizi ushudu ni mwingi mnooo hadi wahenga wanatukimbia. Unaingia MMU utafkiri umeingia jukwaa la jokes.
Kama na wewe umeimiss jamiiforums ya zamani kama mimi watag wahenga wako na tuelezee what inspired you kuingia jamiiforums.
NB: Naomba thread yangu isitolewe humu ndani. Mods please nimeileta humu kwa sababu ni huku ndipo nilipowajulia hawa watu.
Siku nyingi sana nilikuwa natamani nianzishe thread na mada nilikuwa nayo lakini sikufanya hivyo hadi leo hii.
Nakumbuka back then nilikuwa advance nafkiri ndipo nilipo kutana na jamiiforumz mtandaoni tu kama bahati. Nikazama ndani and what i saw kilifurahisha macho yangu sana na ikawa ndo tabia yangu kila siku japo sikuwa na uwezo wa kucomment wala kuanzisha thread sababu sikuwa na account.
Kilichonifanya nianzishe hii thread ni members waliokuwa wananipendeza sana nikiona thread au comment zao.
Nitawataja lakini ukikosekana humu na wewe ni mhenga usijisikie vibaya bali comment na mimi nitakuacknowledge.
1- lara1, huyu was one of a kind... Alikuwa ni mtunzi mzuri sana wa hadithi tamu ambazo watu walikuwa wanasubiri muendelezo wa hadithi zake kwa shauku saaana. Alikuwa na mashauzi flani hivi with an amaizing english. lara 1 alikuwa pia famous apa ndani enzi hizo kwa sababu nilikutaga kamjadala ka jamiiforum party iliofanyika na members mbalimbali walikutana akiwemo lara.
2- watu 8, i dont remember so much about him ila ni kama huwa namuona ona bado humu ndani sio kama lara 1. watu 8 yeye alipenda kujiclassify kama mhenga. Huwa ana majibu yake flani flani yanayojitofautisha na watu wengine. Back then usingeweza kukosa jibu kama vile 'jamani shule zinafunguliwa lini?' maswali kama haya ni kwa sababu ya kukerwa na mada za uongo na za kitoto. Wenyewe waliziita chai.
3- kasie, bidada huyu ana majibu kuntu. Unaweza kupata shushu ukaenda kulala. Avatar yake ni ya mama mtu mzima sana lakini vitu anavyopost huwa vinawafanya watu kujiuliza maswali. Thread zake nyingi nilizoziona ni kuhusu baecation zake anazoendaga na how they did it like siku moja alipost how nice it was having sex kuendana na beat ya muziki na mpenzi wake ilivyokuwa.
4- heavensent, not much about her lakini nakumbuka alikuwa admired sana na wanaume waliokuwapo japo unaweza kusema ilikuwa ni utani tu.
5- Mentor, huyu bwana nilikuwa natamanigi sana nimuone tu hata yeye mwenyewe alivyo japo sijawahi kufanikiwa. Sikumoja alipost story ya maisha yake and how aliendup kuambukizwa ukimwi. Story zake chini kabisa huwa anamalizia na 'wassalam, Mentor'. Nae ni mhenga.
6- Mshana jr, huyu avatar yake kulikuwa na mbaba hivi kibonge. Kati ya watu wote jamiiforumz, avatar yake ni kati ya chache nilizowahi kuhisi ni avatar za kweli. Kama sijamchanganya na mtu mwingine basi yeye alipenda mambo ya uganga uganga sana.
7-Bujibuji, nimemkumbuka tu kwa sababu ya comments zake. Nae ni mhenga.
8- Mzizimkavu, huyu ni daktari wetu. Hakuna anaebisha nadhani. Kukiwa na kapost ya kaugonjwa lazima awe tagged. Nae pia kama sijamchanganya nafkiri ni yeye aliemjibu Mentor kwenye thread yake ya sitaki dawa jinsi ukimwi ulivyo kisaikolojia zaidi and was ready to help.
Nimeikumbuka sana jamiiforums ya zamani. Jamiiforums ambayo ulikuwa ukitaka kuanzisha thread kwanza unajipima wewe na hiko unachotaka kukiwasilisha sio unajikurupukia tu unaandika andika. Back then mada zilikuwa kuntu. Ukikuta mtu anaomba ushauri basi ujue kweli yamemfika. Na kama ni uongo (chai) utawaskia tu members majibu yao jinsi ambavyo hayako serious. Zamani mada za ooh jinsi kumla housegirl oooh, oooh jinsi ya kuchepuka usikamatwe, mara mwingine kaja na thread kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani kulikuwa hakuna.
Tatizo sijajua ni nini ila ninachoweza kuanalyse ni kwamba zamani MMU ilikuwa ina nidhamu utafkiri umeingia jukwaa la great thinkers sio siku hizi ushudu ni mwingi mnooo hadi wahenga wanatukimbia. Unaingia MMU utafkiri umeingia jukwaa la jokes.
Kama na wewe umeimiss jamiiforums ya zamani kama mimi watag wahenga wako na tuelezee what inspired you kuingia jamiiforums.
NB: Naomba thread yangu isitolewe humu ndani. Mods please nimeileta humu kwa sababu ni huku ndipo nilipowajulia hawa watu.