Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna app inaitwa opera news ni mshirika wa opera mini huko nilikuwa nakutana na nyuzi nyingi sana za jf yaani hauwezi amini hadi nilishakufahamu kuwa wewe ni muuza chips kule kule kabla hata sijaja huku[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] muuza kiepe Maarufu
 
Hii sio ile JF niliyokuwa sijui hata ni nini cha kucomment kwa nondo zilizokuwa zikimwagwa. Dah JF ya kweli ilishazikwa na sasa tunatoka katika Era ya JF iliyosifika kwa uchambuzi wa mambo makubwa hadi JF ya kufundishana NGONO. Zamani hata mada za mapenzi zilijadiliwa kwa maturity ila sio sasa. Nitaishukuru Daima kwa kunikuza na siondoki hata kama ikigeuka branch ya ZEutamu maana JF bado ni mtandao wa kijamii mzuri kuliko yote Tanzania
 
Aisee mbona watu wengi wanasema jamii forums ya zamani ndo ilinoga au kwani kuna jamii forums ngapi? Anyway mimi jamii forums kama jamii forums nimeanza kuitumia vizuri mwaka huu

Natumia app mimi browser huwa inanitia uvivu na nikiingia kwa browser ni dakika mbili nimetoka ila kwenye app huwa nakesha zamani nilikuwa nasoma nyuzi za jf kupitia opera mini na opera news nakumbuka nilivyokuwa nasubiria hadithi za Mzizi Mkavu zile za majini nilikuwa nazifuatilia mwanzo hadi mwisho kupitia opera mini

Ila kuna hawa watu Zero IQ Money Penny aggyjay hawa nilianza kusoma nyuzi zao kupitia opera news mwaka huu na kwa kiasi fulani kupitia zile nyuzi ndipo niliposhawishika rasmi kuwa mwanachana wa freemason sorry jamiiforums

Ila kiukweli sijawahi jutia kuwa member yaani humu ndimo ninamomalizia stress zangu maana kuna watu nawakubali sana na michango yao humu jf

Jassue Khantwe cute b Saint anne Atoto Sakayo Sky Eclat Evelyn Salt Cookie Smokey Rebeca 83 Ulweso joanah kapeace manengelo Extrovert Relief Mirzska rikiboy troublemaker Mshana Jr Equation x

Wapo wengine wengi ambao sijawataja hapa na ninatambua michango yao ila hawa niliowataja aisee huwa wananifurahisha mno humu

Japo kati ya wote hao niliowataja ninafayehamiana naye nje ya jf ni mmoja tu Jassue ambaye ni rafiki yangu sana sema humu hayupo active kivile ila hao wengine wote hatufahamiani nje ya jf huwa ninawakubali tu humu ndani na mimi ndugu na marafiki zangu karibu wote siyo watumiaji wa jf kabisa

NB: Kwa wale wanaopenda kujifunza nasikitika kusema kwamba hii hadithi yangu haifundishi chochote (natania) ila mtoa mada samahani kwa kuweka comment ndefu inayokaribia kufikia thread yako[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210]
Mimi na wewe ni kuleeeee. Hivi unaita women empowerment au?? Unanikosha sometimes na saa nyengine unanivuruga mpaka nakimbia🤣🤣🤣🤣
 
Aisee mbona watu wengi wanasema jamii forums ya zamani ndo ilinoga au kwani kuna jamii forums ngapi? Anyway mimi jamii forums kama jamii forums nimeanza kuitumia vizuri mwaka huu

Natumia app mimi browser huwa inanitia uvivu na nikiingia kwa browser ni dakika mbili nimetoka ila kwenye app huwa nakesha zamani nilikuwa nasoma nyuzi za jf kupitia opera mini na opera news nakumbuka nilivyokuwa nasubiria hadithi za Mzizi Mkavu zile za majini nilikuwa nazifuatilia mwanzo hadi mwisho kupitia opera mini

Ila kuna hawa watu Zero IQ Money Penny aggyjay hawa nilianza kusoma nyuzi zao kupitia opera news mwaka huu na kwa kiasi fulani kupitia zile nyuzi ndipo niliposhawishika rasmi kuwa mwanachana wa freemason sorry jamiiforums

Ila kiukweli sijawahi jutia kuwa member yaani humu ndimo ninamomalizia stress zangu maana kuna watu nawakubali sana na michango yao humu jf

Jassue Khantwe cute b Saint anne Atoto Sakayo Sky Eclat Evelyn Salt Cookie Smokey Rebeca 83 Ulweso joanah kapeace manengelo Extrovert Relief Mirzska rikiboy troublemaker Mshana Jr Equation x

Wapo wengine wengi ambao sijawataja hapa na ninatambua michango yao ila hawa niliowataja aisee huwa wananifurahisha mno humu

Japo kati ya wote hao niliowataja ninafayehamiana naye nje ya jf ni mmoja tu Jassue ambaye ni rafiki yangu sana sema humu hayupo active kivile ila hao wengine wote hatufahamiani nje ya jf huwa ninawakubali tu humu ndani na mimi ndugu na marafiki zangu karibu wote siyo watumiaji wa jf kabisa

NB: Kwa wale wanaopenda kujifunza nasikitika kusema kwamba hii hadithi yangu haifundishi chochote (natania) ila mtoa mada samahani kwa kuweka comment ndefu inayokaribia kufikia thread yako[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210]
@edelyn huwa nafikiri wewe ni member mkongwe humu ujue!!
Si kwa nondo zile zinazomtoaga jasho Extrovert[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakati naingia humu kuna id mbili zilikuwa moto ambazo ni mzee mwanakijiji na lizabon. Sijui wako wapi?
 
Amina!
Humu kuna member anaitwa lifecoded anatema madini sio ya kawaida,jamaa hana majivuno wala hajitapi kabisa! kuna FaizaFoxy huyu anakujibu kwa fact with an evidence,huyu hua anadeal na mtu kama atakavyokuja,ukumuheshimu anakuheshimu,ukimletea lugha mbovu anakupokea kama ulivyokuja,

Kuna huyu Mentor shabiki wa Chelsea,anamwaga madini utatamani apewe Taifa stars awe kocha! pia kuna Pascal Mayalla huyu yupo vizuri ila asijiingize kwenye chuki za udini,mkuu barafu yupo vizuri hasa mambo ya aviation industry,


Kifupi nawakubali member wote wa JF coz kila mtu ana style yake,hatuwezi kufanana,utofauti wetu ndio unaouikamilisha jamii,jamii haiwezi kuendelea kama itakua na watu wanaofanana na wanaowaza sawa!

Long live JF.
[/QUOTE.
Amina!
 
Kila zama na zama zake well hata mie walonivutia kujiunga na jf walikuwa lara 1 , DEMBA heven on earth Kaizer Dark City Mentor
Nilikuwa nafurahia namna tu wanavyojamiiana humu ndani, sijawahi kujutia kujiunga.

Well naipenda jf the way ilivyo hata sasa na navutiwa na watu wengi tu kwa michango yao na namna tunavyojamiiana. Jf huifanya siku yangu kuwa murua kabisa

cute b Mentor Heaven Sent manengelo Extrovert Khantwe Evelyn Salt Mother Confessor Madame B MO11 Kaboom Eli79 Hawachi Shadeeya Ulweso Edelyn manengelo @meeya RRONDO Shunie Sakayo Thad The Monk
na wengine weeeeeengi ambao sijawataja.
Sijakubali kuwa mtu wa sita kwenye list
 
Kila zama na zama zake well hata mie walonivutia kujiunga na jf walikuwa lara 1 , DEMBA heven on earth Kaizer Dark City Mentor
Nilikuwa nafurahia namna tu wanavyojamiiana humu ndani, sijawahi kujutia kujiunga.

Well naipenda jf the way ilivyo hata sasa na navutiwa na watu wengi tu kwa michango yao na namna tunavyojamiiana. Jf huifanya siku yangu kuwa murua kabisa

cute b Mentor Heaven Sent manengelo Extrovert Khantwe Evelyn Salt Mother Confessor Madame B MO11 Kaboom Eli79 Hawachi Shadeeya Ulweso Edelyn manengelo @meeya RRONDO Shunie Sakayo Thad The Monk
na wengine weeeeeengi ambao sijawataja.
Wewe si ulisema huwa nakuvuruga?!
 
Ila Mshana Jr nikili nimeanza soma threads zako kitambo nawewe humu ndio mtu wa kwanza kuikariri I'd yako kuna story mmoja ya yule mama wa rombo kimara mpika chakula karibu na ulipokuwa umepanga na mauza uza yake mpaka ukahamia mwananyamala ukakutana na maudha uza mengine ilikuwa nj kiboko.

Mpaka Leo napitiaga Uzi mmoja mmoja ujue Huwa nikitulia naanza jisomea. Japo sikuhizi makali ya story izo umezipunguza sijui umeokoka tiyari
 
Back
Top Bottom