Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

Okay,
Siku nyingi sana nilikuwa natamani nianzishe thread na mada nilikuwa nayo lakini sikufanya hivyo hadi leo hii.
Nakumbuka back then nilikuwa advance nafkiri ndipo nilipo kutana na jamiiforumz mtandaoni tu kama bahati. Nikazama ndani and what i saw kilifurahisha macho yangu sana na ikawa ndo tabia yangu kila siku japo sikuwa na uwezo wa kucomment wala kuanzisha thread sababu sikuwa na account.
Kilichonifanya nianzishe hii thread ni members waliokuwa wananipendeza sana nikiona thread au comment zao.
Nitawataja lakini ukikosekana humu na wewe ni mhenga usijisikie vibaya bali comment na mimi nitakuacknowledge.
1- lara1, huyu was one of a kind... Alikuwa ni mtunzi mzuri sana wa hadithi tamu ambazo watu walikuwa wanasubiri muendelezo wa hadithi zake kwa shauku saaana. Alikuwa na mashauzi flani hivi with an amaizing english. lara 1 alikuwa pia famous apa ndani enzi hizo kwa sababu nilikutaga kamjadala ka jamiiforum party iliofanyika na members mbalimbali walikutana akiwemo lara.
2- watu 8,
i dont remember so much about him ila ni kama huwa namuona ona bado humu ndani sio kama lara 1. watu 8 yeye alipenda kujiclassify kama mhenga. Huwa ana majibu yake flani flani yanayojitofautisha na watu wengine. Back then usingeweza kukosa jibu kama vile 'jamani shule zinafunguliwa lini?' maswali kama haya ni kwa sababu ya kukerwa na mada za uongo na za kitoto. Wenyewe waliziita chai.
3- kasie,
bidada huyu ana majibu kuntu. Unaweza kupata shushu ukaenda kulala. Avatar yake ni ya mama mtu mzima sana lakini vitu anavyopost huwa vinawafanya watu kujiuliza maswali. Thread zake nyingi nilizoziona ni kuhusu baecation zake anazoendaga na how they did it like siku moja alipost how nice it was having sex kuendana na beat ya muziki na mpenzi wake ilivyokuwa.
4- heavensent, not much about her lakini nakumbuka alikuwa admired sana na wanaume waliokuwapo japo unaweza kusema ilikuwa ni utani tu.
5- Mentor, huyu bwana nilikuwa natamanigi sana nimuone tu hata yeye mwenyewe alivyo japo sijawahi kufanikiwa. Sikumoja alipost story ya maisha yake and how aliendup kuambukizwa ukimwi. Story zake chini kabisa huwa anamalizia na 'wassalam, Mentor'. Nae ni mhenga.
6- Mshana jr, huyu avatar yake kulikuwa na mbaba hivi kibonge. Kati ya watu wote jamiiforumz, avatar yake ni kati ya chache nilizowahi kuhisi ni avatar za kweli. Kama sijamchanganya na mtu mwingine basi yeye alipenda mambo ya uganga uganga sana.
7-Bujibuji, nimemkumbuka tu kwa sababu ya comments zake. Nae ni mhenga.
8- Mzizimkavu, huyu ni daktari wetu. Hakuna anaebisha nadhani. Kukiwa na kapost ya kaugonjwa lazima awe tagged. Nae pia kama sijamchanganya nafkiri ni yeye aliemjibu Mentor kwenye thread yake ya sitaki dawa jinsi ukimwi ulivyo kisaikolojia zaidi and was ready to help.
Nimeikumbuka sana jamiiforums ya zamani. Jamiiforums ambayo ulikuwa ukitaka kuanzisha thread kwanza unajipima wewe na hiko unachotaka kukiwasilisha sio unajikurupukia tu unaandika andika. Back then mada zilikuwa kuntu. Ukikuta mtu anaomba ushauri basi ujue kweli yamemfika. Na kama ni uongo (chai) utawaskia tu members majibu yao jinsi ambavyo hayako serious. Zamani mada za ooh jinsi kumla housegirl oooh, oooh jinsi ya kuchepuka usikamatwe, mara mwingine kaja na thread kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani kulikuwa hakuna.
Tatizo sijajua ni nini ila ninachoweza kuanalyse ni kwamba zamani MMU ilikuwa ina nidhamu utafkiri umeingia jukwaa la great thinkers sio siku hizi ushudu ni mwingi mnooo hadi wahenga wanatukimbia. Unaingia MMU utafkiri umeingia jukwaa la jokes.

Kama na wewe umeimiss jamiiforums ya zamani kama mimi watag wahenga wako na tuelezee what inspired you kuingia jamiiforums.

NB: Naomba thread yangu isitolewe humu ndani. Mods please nimeileta humu kwa sababu ni huku ndipo nilipowajulia hawa watu.
Wahenga wa JF wakuu Mentor na Watu8 wamepoa sana siku hizi.
 
Okay,
Siku nyingi sana nilikuwa natamani nianzishe thread na mada nilikuwa nayo lakini sikufanya hivyo hadi leo hii.
Nakumbuka back then nilikuwa advance nafkiri ndipo nilipo kutana na jamiiforumz mtandaoni tu kama bahati. Nikazama ndani and what i saw kilifurahisha macho yangu sana na ikawa ndo tabia yangu kila siku japo sikuwa na uwezo wa kucomment wala kuanzisha thread sababu sikuwa na account.
Kilichonifanya nianzishe hii thread ni members waliokuwa wananipendeza sana nikiona thread au comment zao.
Nitawataja lakini ukikosekana humu na wewe ni mhenga usijisikie vibaya bali comment na mimi nitakuacknowledge.
1- lara1, huyu was one of a kind... Alikuwa ni mtunzi mzuri sana wa hadithi tamu ambazo watu walikuwa wanasubiri muendelezo wa hadithi zake kwa shauku saaana. Alikuwa na mashauzi flani hivi with an amaizing english. lara 1 alikuwa pia famous apa ndani enzi hizo kwa sababu nilikutaga kamjadala ka jamiiforum party iliofanyika na members mbalimbali walikutana akiwemo lara.
2- watu 8,
i dont remember so much about him ila ni kama huwa namuona ona bado humu ndani sio kama lara 1. watu 8 yeye alipenda kujiclassify kama mhenga. Huwa ana majibu yake flani flani yanayojitofautisha na watu wengine. Back then usingeweza kukosa jibu kama vile 'jamani shule zinafunguliwa lini?' maswali kama haya ni kwa sababu ya kukerwa na mada za uongo na za kitoto. Wenyewe waliziita chai.
3- kasie,
bidada huyu ana majibu kuntu. Unaweza kupata shushu ukaenda kulala. Avatar yake ni ya mama mtu mzima sana lakini vitu anavyopost huwa vinawafanya watu kujiuliza maswali. Thread zake nyingi nilizoziona ni kuhusu baecation zake anazoendaga na how they did it like siku moja alipost how nice it was having sex kuendana na beat ya muziki na mpenzi wake ilivyokuwa.
4- heavensent, not much about her lakini nakumbuka alikuwa admired sana na wanaume waliokuwapo japo unaweza kusema ilikuwa ni utani tu.
5- Mentor, huyu bwana nilikuwa natamanigi sana nimuone tu hata yeye mwenyewe alivyo japo sijawahi kufanikiwa. Sikumoja alipost story ya maisha yake and how aliendup kuambukizwa ukimwi. Story zake chini kabisa huwa anamalizia na 'wassalam, Mentor'. Nae ni mhenga.
6- Mshana jr, huyu avatar yake kulikuwa na mbaba hivi kibonge. Kati ya watu wote jamiiforumz, avatar yake ni kati ya chache nilizowahi kuhisi ni avatar za kweli. Kama sijamchanganya na mtu mwingine basi yeye alipenda mambo ya uganga uganga sana.
7-Bujibuji, nimemkumbuka tu kwa sababu ya comments zake. Nae ni mhenga.
8- Mzizimkavu, huyu ni daktari wetu. Hakuna anaebisha nadhani. Kukiwa na kapost ya kaugonjwa lazima awe tagged. Nae pia kama sijamchanganya nafkiri ni yeye aliemjibu Mentor kwenye thread yake ya sitaki dawa jinsi ukimwi ulivyo kisaikolojia zaidi and was ready to help.
Nimeikumbuka sana jamiiforums ya zamani. Jamiiforums ambayo ulikuwa ukitaka kuanzisha thread kwanza unajipima wewe na hiko unachotaka kukiwasilisha sio unajikurupukia tu unaandika andika. Back then mada zilikuwa kuntu. Ukikuta mtu anaomba ushauri basi ujue kweli yamemfika. Na kama ni uongo (chai) utawaskia tu members majibu yao jinsi ambavyo hayako serious. Zamani mada za ooh jinsi kumla housegirl oooh, oooh jinsi ya kuchepuka usikamatwe, mara mwingine kaja na thread kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani kulikuwa hakuna.
Tatizo sijajua ni nini ila ninachoweza kuanalyse ni kwamba zamani MMU ilikuwa ina nidhamu utafkiri umeingia jukwaa la great thinkers sio siku hizi ushudu ni mwingi mnooo hadi wahenga wanatukimbia. Unaingia MMU utafkiri umeingia jukwaa la jokes.

Kama na wewe umeimiss jamiiforums ya zamani kama mimi watag wahenga wako na tuelezee what inspired you kuingia jamiiforums.

NB: Naomba thread yangu isitolewe humu ndani. Mods please nimeileta humu kwa sababu ni huku ndipo nilipowajulia hawa watu.
Huyo namba 7 sijui siku hizi amekuwa je?
 
Supu ya mawe..kongosho..fagio la chuma...tunakodisha bunduki ..zamani ulikua ukiingia jf majukwaa yote unakutana na madini ya kufa mtu..siku hizi mara sijui tigo kufanyaje
 
  • Elimu ilikuwa zamani
  • Tabia nzuri zamani
  • Muziki mzuri zamani
  • Mpira na timu bora zilikuwa zamani
  • Wanawake natural ilikuwa zamani
  • CCM bora ilikuwa zamani
  • Upinzani bora ilikuwa zamani
  • Kutongoza ilikuwa zamani, siku hizi ni kama kusukuma mlevi
  • Uaminifu ilikuwa zamani
  • JF bora ilikuwa zamani
Wahenga hawataki kabisa kukubali kushindwa, anyway kila kitabu na zama zake
 
waliokua zamani ndio nyie nyie mliokuwepo sasa hivi, mnakimbiza vivuli vyenu….kama hukuwepo umeajuaje majina ya wahenga kama na wewe sio mhenga kwa ID mpya...😁
 
waliokua zamani ndio nyie nyie mliokuwepo sasa hivi, mnakimbiza vivuli vyenu….kama hukuwepo umeajuaje majina ya wahenga kama na wewe sio mhenga kwa ID mpya...[emoji16]
Rebecca tuambie ID yako ya zamani, huenda nilikutongoza kabisa. Miaka hiyo nilikuwa nazama pm kama sebuleni tu[emoji39]
 
Well
katika kumbukumbu zangu nakumbuka kuna watu walikuja shuleni kwetu wakijitambulisha kua wame toka Jambo forums nazani mi miaka ya 2006/07 kipindi iko nilkua nakaribia kumaliza elim yang ya msingi jina lilinikaa kichwan lakini sikua na idea yoyte kuhusu hawa jamaa (jamboForums)

kipindi nipo Olevel nili bahatika kupata simu yenye access ya internet zilikua ni Nokia kati ya Eseries iv katka ku google mambo yangu nika kutana na matokeo mengi kutokea JF hii ilikua miaka ya 2009/10 kuanzia 2010 nikawa sasa mtumiaji wa JF lakini sikua member

2013 kipindi nimetoka kumaliza kidato cha 6 apa ndo rasmi nika ingia JF baada ya kua guest kwa zaid ya miaka3 zaidi nili vutiwa na nyuzi/mijadala inayo wekwa humu members hawa wali nivutia sana kipindi iko

Mentor Buddy Heaven Sent Heaven on Earth @lara1 Elungata pasco @Raskim Kingz Mshana Jr et al
 
Well
katika kumbukumbu zangu nakumbuka kuna watu walikuja shuleni kwetu wakijitambulisha kua wame toka Jambo forums nazani mi miaka ya 2006/07 kipindi iko nilkua nakaribia kumaliza elim yang ya msingi jina lilinikaa kichwan lakini sikua na idea yoyte kuhusu hawa jamaa (jamboForums)

kipindi nipo Olevel nili bahatika kupata simu yenye access ya internet zilikua ni Nokia kati ya Eseries iv katka ku google mambo yangu nika kutana na matokeo mengi kutokea JF hii ilikua miaka ya 2009/10 kuanzia 2010 nikawa sasa mtumiaji wa JF lakini sikua member

2013 kipindi nimetoka kumaliza kidato cha 6 apa ndo rasmi nika ingia JF baada ya kua guest kwa zaid ya miaka3 zaidi nili vutiwa na nyuzi/mijadala inayo wekwa humu members hawa wali nivutia sana kipindi iko

Mentor Buddy Heaven Sent Heaven on Earth @lara1 Elungata pasco @Raskim Kingz Mshana Jr et al
Ahsante sana mpendwa. Naamini bado unavutiwa na kuenjoy JF
 
JF ya zamani niliifurahia sana jamanii..
Kuna member walinivutia mnoo miaka ya 2011
Masai dada
Badieby na yule mwarabu wake memsahau..
Eiyer
Asprin
Lara 1 huyu dada alijua kuwakomesha wanaume wa jf jamani
Mentor
Miss Chagga
Wengine wamenitoka kidogoo!
Badiebey na money stuna nafikiri
 
Watu wa facebook wameivamia Jamiiforums kwa kasi! Kila uki-scroll ni hadithi za uzinzi tu! Wengine hawajui hata Kiswahili nao wamo tu wanang'ang'ana!
 
Back
Top Bottom