Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

Nimeikumbuka JamiiForums ya zamani

Kila zama na zama zake well hata mie walonivutia kujiunga na jf walikuwa lara 1 , DEMBA heven on earth Kaizer Dark City Mentor
Nilikuwa nafurahia namna tu wanavyojamiiana humu ndani, sijawahi kujutia kujiunga.

Well naipenda jf the way ilivyo hata sasa na navutiwa na watu wengi tu kwa michango yao na namna tunavyojamiiana. Jf huifanya siku yangu kuwa murua kabisa

cute b Mentor Heaven Sent manengelo Extrovert Khantwe Evelyn Salt Mother Confessor Madame B MO11 Kaboom Eli79 Hawachi Mzigua90 Mama Sabrina Shadeeya Ulweso Malcom Lumumba EMT fisadikuu 4G LTE hazard cfc sumbai joanah aggyjay Nalendwa kapeace Edelyn manengelo @meeya RRONDO Shunie Sakayo Thad The Monk
na wengine weeeeeengi ambao sijawataja.
kwanini Mentor katanguliwa kutajwa kabla yangu ??
 
Sitaki kujua kwamba imetokea tuu nikawa wakwanza kwenye hiyo list.

Lakini napenda kusema nimefurahi sana jina langu kuwa la kwanza kukujia kwenye akili yaani na ninajidaijee[emoji23][emoji23][emoji23]. Kwangu ina maana kubwa kwamba miaka 5 yote tuliyojuana , haujawahi kujuta kunijua.

Kama vile nakuona unavyokuja kunikatisha tamaa[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Usifurahi sana hiyo list iko kwenye ascending order
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unataka nimwagiwe tindikali jamani
 
Back
Top Bottom