Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Auntie hongera sana.Huyo anayekufuatia ndo shemelaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Auntie hongera sana.Huyo anayekufuatia ndo shemelaa
Wewe ni baba mchungaji [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nilianza kusoma kupitia operamini nilimjua
Mshana jr, mzizi mkavu ila nilikua nikisoma post za zero iq nilikua najihisi mchafu.
[emoji23][emoji23][emoji23] nilikua najihisi mchafu nakwenda bafuniWewe ni baba mchungaji [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
kwanini Mentor katanguliwa kutajwa kabla yangu ??Kila zama na zama zake well hata mie walonivutia kujiunga na jf walikuwa lara 1 , DEMBA heven on earth Kaizer Dark City Mentor
Nilikuwa nafurahia namna tu wanavyojamiiana humu ndani, sijawahi kujutia kujiunga.
Well naipenda jf the way ilivyo hata sasa na navutiwa na watu wengi tu kwa michango yao na namna tunavyojamiiana. Jf huifanya siku yangu kuwa murua kabisa
cute b Mentor Heaven Sent manengelo Extrovert Khantwe Evelyn Salt Mother Confessor Madame B MO11 Kaboom Eli79 Hawachi Mzigua90 Mama Sabrina Shadeeya Ulweso Malcom Lumumba EMT fisadikuu 4G LTE hazard cfc sumbai joanah aggyjay Nalendwa kapeace Edelyn manengelo @meeya RRONDO Shunie Sakayo Thad The Monk
na wengine weeeeeengi ambao sijawataja.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Kufanya yako mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] nilikua najihisi mchafu nakwenda bafuni
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Kufanya yako mkuu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Apana mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] ulikua moto balaa ulitufundisha hadi sasa tumekua walimu
KhaaaaAuntie hongera sana.
Binti naoana dawa imekuingia na ndio faraja yangu.Wewe unawashwa na janaba...kavue baibui mama uoge kwanza kisha urudi hapa...!
Vua baibui ukatoe janaba mamaBinti naoana dawa imekuingia na ndio faraja yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaaaa
Sio kwangu bana, meuliza juu naona umewapanga kwa kufuatana auntie!
Usifurahi sana hiyo list iko kwenye ascending orderSitaki kujua kwamba imetokea tuu nikawa wakwanza kwenye hiyo list.
Lakini napenda kusema nimefurahi sana jina langu kuwa la kwanza kukujia kwenye akili yaani na ninajidaijee[emoji23][emoji23][emoji23]. Kwangu ina maana kubwa kwamba miaka 5 yote tuliyojuana , haujawahi kujuta kunijua.
Kama vile nakuona unavyokuja kunikatisha tamaa[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
hivi ukongwe ni kuanzia miaka mingapi ??[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Wa hapa Jf au wa mtu binafsihivi ukongwe ni kuanzia miaka mingapi ??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanya uedit kwanzaHivi kumbe nimemtaja kabla yako[emoji134][emoji134][emoji134] ngoja nikaedit.
Ulimi wenyewe mbayaaaa.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]