Nimeikuta mahali: Mzee alivyozima kelele za wabaya wetu

Nimeikuta mahali: Mzee alivyozima kelele za wabaya wetu

JPM alisema barakoa za nje zina sumu.

Kupima madereva huku kwetu walipimwa na nini wakati maabara yetu imefungwa kwa uchunguzi usiokamilika.

Halafu hivi una habari sukari bado haipatikani uswahilini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Aliyekwambia hawapimi wakati wa uchunguzi ndio alikudanganya ie unaleta majungu. Kuhusu sukari kokosekana mtaani kwako ndio propaganda zenyewe, jipime kama umetosha?
 
Layman, zinazuia virus?issue is not barakoa, issue to sustain the purpose!


1. Can Masks Capture Coronavirus Particles?
The skeptic case:

Amid the outbreak, some people have said: The coronavirus (and other viruses for that matter) is tiny, and masks are so thin. They can’t possibly get tiny coronavirus particles. Business Insider used this logic in their article whose title claimed masks “probably won’t protect you.”
Business-Insider-Masks-Dont-Capture-Virus.jpg

View attachment 1456502
Matambara yana vitundi vikuvwa zaidi ya units hizo hapo juu. Kwahiyo hayo matambara ni BURE!
WHO wana madaktar waliobobea kwenye suala zima la afya, ndio walioshauri matumiz ya cloth masks, business insider ulikochukua tafiti zako nadhan wana wataalam wa habarr za kiushawish kama ww unavyotushawishi. Write facts please...
 
Insider si pharmacology institution/company. Wanaandika yaliyotoka kwenye research institutions..
 
Tuliwaomba, wanajikomba kwa mwamba.
JE, BADO MNAWAITA MABEBERU?
THINK BEFORE YOU LEAP
Marekani imetangaza kuwa kupitia Shirika lake la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) itaongeza USD 2.4 M (Tsh. Bil. 5.6) ikiwa ni msaada kwa sekta ya afya kuimarisha uwezo wa maabara na upimaji wa kimaabara, jitihada za utoaji taarifa na miradi mingine mbalimbali. #MillardAyoUPDATES

Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani leo imesema fedha hizi ni nyongeza ya msaada wa USD milioni moja unaolenga kusaidia mapambano dhidi ya kirusi corona uliotolewa hivi karibuni hivyo kufanya kiasi kipya cha pesa zilizotolewa kwa Tanzania kukabiliana na corona kufikia USD milioni 3.4.

Taarifa hiyo imesema kiasi kingine cha dola za kimarekani milioni 1.9 zilibadilishwa matumizi na kuelekezwa kwenye mapambano dhidi ya corona na kufanya jumla ya pesa zilizotolewa na Marekani katika kukabiliana na corona Tanzania hadi sasa kufikia jumla ya USD milioni 5.3 (Bilioni 12 Tsh. )

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1: Walitaka kutuuzia mavazi ya madaktari na manesi kwa bei ya laki 3 kila moja JPM akasem a tutashona wenyewe kwa bei ya elfu 30

2: Barakoa kutoka nje zikaanza kuwa adimu na kupanda bei JPM akasema watz kila mtu ashone yake zikashuka bei zikauzwa hadi buku

3: Wakaleta Lockdown ili tujifungie tusifanye kazi watuletee misaada kwa masharti yao JPM akasema no HAPA KAZI TU wakashindwa.

4: Wakaleta vipimo feki ili watanzania wengi waonekane na corona tena wakatabiri wagonjwa wa corona watafikia laki5 hadi mwezi may JPM akapeleka mapapai na oil wakashindwa

5: Wakaanza kutangaza vifo kwa kila anayekufa kuwa kafa na corona ili watz wapate hofu na kufa JPM akainuka na kusema watz tusiogope Corona ni ugonjwa kama mengine tusiwe na hofu tukaitikia na kwa sasa hakuna tena taarfa zao za vifo

6: Madereva wa Tanzania kila anayepimwa anakutwa na corona ili tu waue soko la utalii wetu lakini hakuna anayekufa wala kupona hii ilitaka kuzuia wageni wanaotaka kuja nchini wajue Tz kuna corona JPM akasema wapimeni upya huku wakakutwa hawana corona.

Mzee akasema Fungua utalii
Haohao wanaowashutumu kutaka yote hayo ndio wametoa bilioni 12 kupambana na CoRONA. Kweli za kuambiwa changanya na zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1: Walitaka kutuuzia mavazi ya madaktari na manesi kwa bei ya laki 3 kila moja JPM akasem a tutashona wenyewe kwa bei ya elfu 30

2: Barakoa kutoka nje zikaanza kuwa adimu na kupanda bei JPM akasema watz kila mtu ashone yake zikashuka bei zikauzwa hadi buku

3: Wakaleta Lockdown ili tujifungie tusifanye kazi watuletee misaada kwa masharti yao JPM akasema no HAPA KAZI TU wakashindwa.

4: Wakaleta vipimo feki ili watanzania wengi waonekane na corona tena wakatabiri wagonjwa wa corona watafikia laki5 hadi mwezi may JPM akapeleka mapapai na oil wakashindwa

5: Wakaanza kutangaza vifo kwa kila anayekufa kuwa kafa na corona ili watz wapate hofu na kufa JPM akainuka na kusema watz tusiogope Corona ni ugonjwa kama mengine tusiwe na hofu tukaitikia na kwa sasa hakuna tena taarfa zao za vifo

6: Madereva wa Tanzania kila anayepimwa anakutwa na corona ili tu waue soko la utalii wetu lakini hakuna anayekufa wala kupona hii ilitaka kuzuia wageni wanaotaka kuja nchini wajue Tz kuna corona JPM akasema wapimeni upya huku wakakutwa hawana corona.

Mzee akasema Fungua utalii
Miaka ya nyuma ilikuwa imezoeleka kuona viongozi wa Africa ku-copy mambo toka nje ya bara kuanzia sera adi utendaji, ila ivi sasa JPM amekuwa mfano kwao & dunia nzima na wao ndio wana-copy toka kwake.

Ama kweli dunia duara!!!
 
JE, BADO MNAWAITA MABEBERU?
THINK BEFORE YOU LEAP
Marekani imetangaza kuwa kupitia Shirika lake la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) itaongeza USD 2.4 M (Tsh. Bil. 5.6) ikiwa ni msaada kwa sekta ya afya kuimarisha uwezo wa maabara na upimaji wa kimaabara, jitihada za utoaji taarifa na miradi mingine mbalimbali. #MillardAyoUPDATES

Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani leo imesema fedha hizi ni nyongeza ya msaada wa USD milioni moja unaolenga kusaidia mapambano dhidi ya kirusi corona uliotolewa hivi karibuni hivyo kufanya kiasi kipya cha pesa zilizotolewa kwa Tanzania kukabiliana na corona kufikia USD milioni 3.4.

Taarifa hiyo imesema kiasi kingine cha dola za kimarekani milioni 1.9 zilibadilishwa matumizi na kuelekezwa kwenye mapambano dhidi ya corona na kufanya jumla ya pesa zilizotolewa na Marekani katika kukabiliana na corona Tanzania hadi sasa kufikia jumla ya USD milioni 5.3 (Bilioni 12 Tsh. )

Sent using Jamii Forums mobile app
hata wewe mkuu ukitaka kuitwa kutokana na maisha yako utapewa.

ukiwa mchezi kitaani na una pesa=unaitwa boss
ukiwa hohehhahe sura mbuzi=mwamed au kitambi mzigo.
ukiwa mcheshi na huna hela=unaitwa baharia
ukiwa na hela sura mbuzi=unaitwa mzee ......


lakini sasa atleast nanyinyi mmeelewa kwamba hawana habari na upupu mnaowapa eh.
 
Miaka ya nyuma ilikuwa imezoeleka kuona viongozi wa Africa ku-copy mambo toka nje ya bara kuanzia sera adi utendaji, ila ivi sasa JPM amekuwa mfano kwao & dunia nzima na wao ndio wana-copy toka kwake.

Ama kweli dunia duara!!!
Uonavyo wewe.Kanyaga taratibu baba wasisikie kishindo.
 
hata wewe mkuu ukitaka kuitwa kutokana na maisha yako utapewa.

ukiwa mchezi kitaani na una pesa=unaitwa boss
ukiwa hohehhahe sura mbuzi=mwamed au kitambi mzigo.
ukiwa mcheshi na huna hela=unaitwa baharia
ukiwa na hela sura mbuzi=unaitwa mzee ......


lakini sasa atleast nanyinyi mmeelewa kwamba hawana habari na upupu mnaowapa eh.
Sijaelewa hata unachokisema.. Mimi napinga u kigeugeu either uwe na Serikali au Wa Upinzani...
Maana hii nchi wanasiasa wote mmekuwa waongo waongo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ameshangaza dunia nzima kwa kuweka sampuli za mapapai,fenesi ,mbuzi na kondoo na kug'amua testkits mbovu. Bbc, Cnn na Aljazeera hawawezi kuonyesha lakini Tv kibao Usa zinamzungumzia mpaka sasa hivi.

Mkuu isije kuwa TBC, ITV, channel 10,Star TV, Clouds nk? Hizi nazo ziko kwenye satellites zinapatikana dunia nzima hata USA mkuu, na hata online.

Live ni king'amuzi chako tu mkuu.
 
Mkuu isije kuwa TBC, ITV, channel 10,Star TV, Clouds nk? Hizi nazo ziko kwenye satellites zinapatikana dunia nzima hata USA mkuu, na hata online.

Live ni king'amuzi chako tu mkuu.
Nenda kanywe mbege na K vant.
 
Nenda kanywe mbege na K vant.

Niko nafuka nyungu mkuu. Mbona unanichuria niache kuitika wito wa uponyaji tokea kwa nabii mkuu?

Kwani wewe nani zaidi yake anayetutaka sisi waumini wake kukesha kwenye nyungu nawe unataka tukapombeke?

Utakuwa unatumiwa na mabeberu wewe!

Usitake kutupoteza maboya siye. Tunajifua kisawasawa wenzio kwa chereko chereko za kesho.

Ukizingatia na nyungu ikikolea vilivyo hata n95 barakoa tupa kule!
 
Niko nafuka nyungu mkuu. Mbona unanichuria niache kuitika wito wa uponyaji tokea kwa nabii mkuu?

Kwani wewe nani zaidi yake anayetutaka sisi waumini wake kukesha kwenye nyungu nawe unataka tukapombeke?

Utakuwa unatumiwa na mabeberu wewe!

Usitake kutupoteza maboya siye. Tunajifua kisawasawa wenzio kwa chereko chereko za kesho.

Ukizingatia na nyungu ikikolea vilivyo hata n95 barakoa tupa kule!
Safi sana.
 
Baada ya ibada ya kusifu na kuabudu huyu JPM ni lazima umtolee zaka na sadaka.
Kumbuka unapotoa sadaka kubwa kwa huyu kiumbe,atakuzawadia cheo kikubwa.
Kumbuka kuwananga na kuwatukana wapinzani wa huyu Mungu wako,kusudi ilipwe posho zaidi ya shs 7,000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom