Nimeikuta mahali: Mzee alivyozima kelele za wabaya wetu

Nimeikuta mahali: Mzee alivyozima kelele za wabaya wetu

Baada ya ibada ya kusifu na kuabudu huyu JPM ni lazima umtolee zaka na sadaka.
Kumbuka unapotoa sadaka kubwa kwa huyu kiumbe,atakuzawadia cheo kikubwa.
Kumbuka kuwananga na kuwatukana wapinzani wa huyu Mungu wako,kusudi ilipwe posho zaidi ya shs 7,000

Sent using Jamii Forums mobile app
Andika ukiwa umetulia tafadhali, ili mada unayochangia ieleweke
 
Back
Top Bottom