Nimeimiss nanii mpaka nachuruzika .....

Nimeimiss nanii mpaka nachuruzika .....

Mambembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2018
Posts
2,217
Reaction score
2,970
Hope wote mu wazimaa.....

ila kusema kweli jamani nimeimiss JAMII FORUM mpaka machozi YANANITIRIRIKA semaa huyu boss mpyaa anatupeleka mchaka mchaka mpaka nasahau kushika simu

All in all nimewamiss sana esp mabwana zangu wa PM(kama naona wasionipenda wanavyosonya l.o.l)



MAMBEMBE THE UNTOUCHABLE
QUEEN OF KING BED
 
Hahaha mambembe hata mm mdada nilikumiss sana karibu my dear nilivyoona kuchururuzika niliwaza mbali shunie mm
Hahahahah chezeaaa mchuruziko ww hatareeee shogaa angu
 
Back
Top Bottom