Twande
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 543
- 174
HP,brilliant if it is fiction but if it is based on true story of yours,am sorry for what happened to you.Leaving you citing that that you were not strong enough as one of the reasons was a mistake.Hakuna mtu perfect bana,udhaifu wako ulikuwa mdogo sana kulinganisha na majority ya mtu anemtaka yeye.
Kama nihivyo hujaingia choo cha kike kwani huna sababu ya kuwachukia wanawake unless labda kwa yule wa kwanza ambae hatujui alikutenda nini.
Kama nilivyosema kama ni fiction,ni story nzuri sana kuandika na kuisoma lakini kama yalikukuta kweli nakupa pole sana.Lakini tusichukiane,wanaume kwa wanawake kwayale mabaya tunayotendeana,inauma kweli kutendwa,ila tusamehe baada ya makovu ya kutendwa kupona.
Umetufundisha mambo fulani katika story yako,lakini mawili makuu ni kuwa na upendo wa kweli na pili tunachaguaje watu wa kuwa nao katika maisha yetu(kuoa/kuolewa) ili kupunguza yale ambayo yanatukuta kila siku ndoa kuvujika nyingine kabla ya hata kufungwa.
Niliweka thread moja hapa ya kipande cha maisha yangu kabla ya kuoa na regrets nilizokuwa nazo na ilikuwa na maswali kadha yanayoshabiana na hii story yako lakini haikupata michango ya maoni ya watu wengi.Ulichangia kitu fulani katika hiyo thread nakumbuka,inaitwa .....she wasn't a girl........she was not yet a woman.Inahusika sana katika hii story .
Asante sana tena HP,mungu akubariki.
Ntatafuta huo uzi it seems ulikuwa mzuri!