sasa kama mgeni ndugu yangu si itakuwa very hard. maana wote huku siwajui. suala la condom hapo ngumu mimi napenda yango na yango... sema nahakikisha ameloana sana...........yaaani full utelezi then ndo tuna sexica.Nipo Lindi huku hakuna starehe pambana tu na hali kaka angu karibu uswahilini ila hakikisha unatumia kondom na usiende na mwanamke humjui
Inaitwa Himo kama sijakosea....Hapo katikati ya mji kuna restaurant nzuri sana ya wapemba (jina nimesahau), niliwahi kwenda hapo wana msosi mzuri sana
kuhusu Lodge hapo town center zipo za 20k hadi 50k nzuri sana
Ni kweli nami nimeshuhudia hii kitu twice miaka ya 2000, mara ya kwanza mwenye mke akadai laki moja na nusu na akalipwa kesi ikaisha. Mara ya pili mwenye mke alidai laki mbili na nusu na ikalipwa kwa awamu mbili mambo yakaisha.True mkuu. Kuna jamaa alimchukua mke wa mtu huko na kumuweka kinyumba. Nilitegemea mwenye mke angemtoa meno mkewe au mwizi wake. Cha kushangaza kamfuata mbaya wake kistaarabu kabisa na kumuomba ampe kiasi Cha pesa akaoe mke mwingine.
ENzi zile ununuzi wa korosho ulikua free and fair hata Mambo hayo yalikua free sana. Ikumbukwe Lindi Kuna maambukizi madogo sana ya ukimwi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]sasa kama mgeni ndugu yangu si itakuwa very hard. maana wote huku siwajui. suala la condom hapo ngumu mimi napenda yango na yango... sema nahakikisha ameloana sana...........yaaani full utelezi then ndo tuna sexica.
Lindi Mtwara nawapendea Hilo la kutokua na wivu wa kimapenzi. Jamaa alienda kununua korosho akawa anakaa na mke wa ntu gesti. Siku mnunuzi wa korosho anarudi Dar mwananke karudi kwa mumewe na Maisha yakaendelea.Ni kweli nami nimeshuhudia hii kitu twice miaka ya 2000, mara ya kwanza mwenye mke akadai laki moja na nusu na akalipwa kesi ikaisha. Mara ya pili mwenye mke alidai laki mbili na nusu na ikalipwa kwa awamu mbili mambo yakaisha.
Lindi hakunaga ushemejiLindi Mtwara nawapendea Hilo la kutokua na wivu wa kimapenzi. Jamaa alienda kununua korosho akawa anakaa na mke wa ntu gesti. Siku mnunuzi wa korosho anarudi Dar mwananke karudi kwa mumewe na Maisha yakaendelea.
Lindi ukipata mke wa mtu mlevi, ongea nae vizuri unaweza usiingie gharama ya kuoa. Huyo huyo atakupikia na kukufulia
Yeah, Mtwara pako poa sana, kuna kila kitu, mji ni mkubwa na mishemishe zipo ingawa zimeshuka kuliko kipindi kile cha gesiMkoa umezubaa sana ule, nilishawahi kupita mara kadhaa huko lakini kwakweli sijaona kivutio cha kusema labda ni kiwanja cha kueleweka kwenda kuburudika labda uende ufukweni tu kupigwa upepo.
Mtwara ndiyo mwisho wa maelezo, sikujua kama wamakonde wanapenda starehe kiasi kile.
Hahaha.. U made my dayNenda kavue!! Bwana we we acha nchezoo!
Unamshauri atumie kondomu kwenye nini?Nipo Lindi huku hakuna starehe pambana tu na hali kaka angu karibu uswahilini ila hakikisha unatumia kondom na usiende na mwanamke humjui
HimoHapo katikati ya mji kuna restaurant nzuri sana ya wapemba (jina nimesahau), niliwahi kwenda hapo wana msosi mzuri sana.
kuhusu Lodge hapo town center zipo za 20k hadi 50k nzuri sana.
Mtwara upende upasikie tu. Yuko jamaa yangu alikua na mchumba wake wote wanafanya kazi Dar. Gesi ilipoanza jamaa kahamishiwa Mtwara. Kufika Ntwara dogo kakaribishwa na sindimba la mwanamke wa kimakonde (Ile Hadi unatema mate nje kupitia dirishani)Mkoa umezubaa sana ule, nilishawahi kupita mara kadhaa huko lakini kwakweli sijaona kivutio cha kusema labda ni kiwanja cha kueleweka kwenda kuburudika labda uende ufukweni tu kupigwa upepo.
Mtwara ndiyo mwisho wa maelezo, sikujua kama wamakonde wanapenda starehe kiasi kile.
Unamaanisha kuwa wale waheshimiwa walifanyiziwa??.GuDume . Kumbuka mschana moja wa uvccm na naibu waziri walishindwa kuapa na kuomba kura. Nasikia ni wa Lindi! Pia nakumbuka ziara ilikatishwa huko! So behave unapokuwa Lindi [emoji23][emoji1787]
Odhis *
Kha!kha!kha !, Hiyo ya mwisho ni balaa.Nikutahadharishe tu kwamba Lindi uchawi upo.
1. Nadhani utamkumbuka mbunge msomi wa kiwango Cha master's alikaushwa sauti akashindwa kuapa.
2. Kuna mdada alikua anagombea viti maalum walimkausha sauti akabaki kusema tu kidumu chama.
3. Tukio jingine mwenyewe unalikumbuka.
4. Tukio jingine likihusishwa na kiongozi wa chama Cha upinzani kipindi hicho akiwa kinda kabisa bungeni. Mchana kweupeeee.
Ila watu wa Lindi hawana wivu wa kimapenzi [emoji817]%
Tena unaweza kuchukua mke wa mtu ukakaa nae hapo gesti kwa siku zote na mumewe mnaongea nae vizuri tu na siku ukiondoka mke anarudi kwa mumewe.
Sasa atamjuaje wakati ni mgeni?. Muhimu hapo ni kuacha kabisa.Nipo Lindi huku hakuna starehe pambana tu na hali kaka angu karibu uswahilini ila hakikisha unatumia kondom na usiende na mwanamke humjui
Sawa,lkn Kidini na Kimaadili sio vizuri.Lindi Mtwara nawapendea Hilo la kutokua na wivu wa kimapenzi. Jamaa alienda kununua korosho akawa anakaa na mke wa ntu gesti. Siku mnunuzi wa korosho anarudi Dar mwananke karudi kwa mumewe na Maisha yakaendelea.
Lindi ukipata mke wa mtu mlevi, ongea nae vizuri unaweza usiingie gharama ya kuoa. Huyo huyo atakupikia na kukufulia