Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

Ongeza sidiria zile za ukweli size zote, na top za wanafunzi zipo wanavalia ndani ya shati za shule, always au pedi jina lingine, body spray za bei ya kawaida, hereni, bangiri za kisasa za mkononi, duka lako likishajulikana wateja watakuja moja kwa moja kikubwa nidhamu kwa wateja usiwe mtu wa kuwapeleleza acha wanunue waendelee na mishe zao hapo utawauzia hata wamama watu wazima.
 
Asante Nashukuru Mungu now kila kitu kinapatikana hadi pedi 😋
 
Karibuni Sana hata school bags tunazo pia popote tunatuma
 
Kama wewe ni me kuwa makini sana na biashara ya chupi mtaji utapukutika huo.
Vipi kuna sehemu ya kujipima kwenye duka lako?
Mkuu kuhusu mkoa mi niko Kanda ya Ziwa na nafanya biashara ya Chupi. nilianza na Chupi na wakati Naendelea nikawa naongeza vitu kidogo kidogo na still Naendelea kupambana nione Duka likifika umri wa mwaka itakuaje
[/QUOTE]
 
[/QUOTE]
Mkuu Acha kuwaza mambo hayo dunia inakimbia Sana hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…