Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

Kabla ya kubeza, naomba nikuulize swali kama ifuatavyo...
Wewe hujawahi kupitia wakati mgumu na kuipata shilingi kwa tabu..??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitumia muda wako kutaka kuwafikiria watu wenye kukatishana tamaa, utashindwa kufikia malengo.

Angalia unataka nini uliza chukua mawazo chanya, songa mbele.
 
Ndogo sana hiyo fungahiyo biashara acha kupoteza mdaa
 
Back
Top Bottom