Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

mi niliwah kufanya biashara ya ivo shida mteja akija narafiki yake unakuta wanaongea maneno ya kuchombeza chombeza nikawa nadindisha hatari.(ila mungu nisamehe nimetafuna Sana totoz plus wake za watu na nikafilisika bahati nzuri kipind icho icho jakaya akatema ajira) respect to you JAKAYA KIKWETE

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hujasema unauza nini mkuu
 
300k kwa mwez, 10k kwa siku..
Kweli kuna watu mnatafuta hela kwa shida sana.
Ungeweka wazi basi ni biashara gani?
Huishi tz!
Unafanya biashara au umeajiriwa?
Kwa biashara yenye miezi mitatu huo Ni uelekeo mzuri bila kujali Ni biashara gan
 
Hapo TRA ndo Nataka kuanza kulipa mwaka huu Fire Sijaenda mpaka wapite na kuhusu kuwepo Ndio ninaifanya mwenyewe Biashara maana mtaji naujua nilipoutoa nisipoulinda nani mwingine wa kunilindia?
Hapo hyo faida ushatoa na chakula cha kila siku ama bado?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi umeuweka kwa makusudio gani ndgu yangu?

Kwakweli umefupisha mpaka umezidisha!!
Hujasema ni biashara gani, uko wapi! Hiyo ni faida kweli??

Haya nikupongeze kwa kuanzisha biashara.
 
Dah imepungua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara imekupa promotion usigande ukizan graph inaganda hvy muda wote .... Muda na mabadiliko havizuiliki😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…