OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Sasa mkuu 10k unaichukuliaje? Ni ndogo au ni kubwa..!300k kwa mwez, 10k kwa siku..
Kweli kuna watu mnatafuta hela kwa shida sana.
Ungeweka wazi basi ni biashara gani?
Vizuri sanaaa
Tatizo hujasema unauza nini mkuuSiku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.
Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.
Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.
Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+
Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.
Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.
Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .
Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?
Huishi tz!300k kwa mwez, 10k kwa siku..
Kweli kuna watu mnatafuta hela kwa shida sana.
Ungeweka wazi basi ni biashara gani?
Nimependa "ujasiriamali is a lonely journey"Kaza mwendo kamanda, ujasiriamali huwa ni lonely journey, usitafute mtu wa kukutia moyo wala nini. Wewe endelea na mapambano.
Uko kwenye right track.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hyo faida ushatoa na chakula cha kila siku ama bado?Hapo TRA ndo Nataka kuanza kulipa mwaka huu Fire Sijaenda mpaka wapite na kuhusu kuwepo Ndio ninaifanya mwenyewe Biashara maana mtaji naujua nilipoutoa nisipoulinda nani mwingine wa kunilindia?
Doh...ina maana ukitoa msosi hapo faida sio 12k wa sku tena...waeza kuta kwa mwezi faida ni 100k au 150k...mana hela ya kula lazima upigie hapo ili ujue faida halisiVyanzo vingine mkuu
Dah imepunguaUPDATE
From JANUARY TO MARCH
Hiki ndicho nilichokivuna 747,050/=
Habarini wana jamvi wengi walitamani kusikia mambo yapoje baada ya miezi mitatu mingine. Kiukweli biashara ni ngumu lakini Mungu ni mwema hicho ndicho nilichovuna
Najua wapo watakao beza Karibuni
Picha naleta soon
Hivi nyie mnao andikiwa "banned" waga mnakosa nini humu ndani?Kupata kidogo ngumu ila nadhani kuna vitu vigumu zaidi kama nachofanya sasahivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
😒300k kwa mwez, 10k kwa siku..
Kweli kuna watu mnatafuta hela kwa shida sana.
Ungeweka wazi basi ni biashara gani?