APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Biashara yangu ya library ya movies naingiza sio chini 600k kwa mwezi,alafu kuna watu wanadharau library poleni sana300k kwa mwez, 10k kwa siku..
Kweli kuna watu mnatafuta hela kwa shida sana.
Ungeweka wazi basi ni biashara gani?
Hongera sanaHahaha nipo naendelea mkuu now nafungua duka LA vitu used Chupi inalipa mkuu
Nmeiwaza hii...tupe hints kidogo mkuu ulianzaje anzajeBiashara yangu ya library ya movies naingiza sio chini 600k kwa mwezi,alafu kuna watu wanadharau library poleni sana
Ukitumia muda wako kutaka kuwafikiria watu wenye kukatishana tamaa, utashindwa kufikia malengo.Kabla ya kubeza, naomba nikuulize swali kama ifuatavyo...
Wewe hujawahi kupitia wakati mgumu na kuipata shilingi kwa tabu..??
Sent using Jamii Forums mobile app