Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

Nimeingiza faida ya 1,092,600 baada ya siku 90 za biashara yangu

Umethubutu mkuu hata ungekuwa umepata faida chini ya hapo kwa upande wangu ningekupongeza tu wengi tunaplan za biashara pamoja nakuwa na mitaji ila tumekuwa wagumu kuthubutu cha msingi endelea na kile unachoamini you never know siku zijazo unaweza kuwa juu zaidi ya hapo No pain No gain.
 
Kabla ya kubeza, naomba nikuulize swali kama ifuatavyo...
Wewe hajawahi kupitia wakati mgumu na kuipata shilingi kwa tabu..??

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine kwenye maisha ni bora ukubaliane na hali uliyonayo upate hata hicho kiasi kidogo cha fedha kuliko kukikosa kabsa!

Wanasema bora kitu kuliko kukikosa kabsa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuhusu mkoa mi niko Kanda ya Ziwa na nafanya biashara ya Chupi. nilianza na Chupi na wakati Naendelea nikawa naongeza vitu kidogo kidogo na still Naendelea kupambana nione Duka likifika umri wa mwaka itakuaje
Hongera sana Mkuu. Kuuza chupi zaidi ya tano kwa siku ni mafanikio makubwa sana.
 
Mwanzo mzuri sana. Mkuu nikupongeze.
Ukiweza uwe na biashara kama hizo maeneo hata matatu tofauti. Natumai kwa mwezi utakuwa na uwezo wa kuingiza mil1+
 
Siku tisini (90) baada ya kufungua Biashara.

Habari wana JamiiForums, leo nimekuja kwenu kupata maoni kuhusu mwenendo wa biashara yangu hii niliyoianza siku 90 zilizopita.

Nilifikiria kuanza biashara hii baada ya kazi niliyokuwa naifanya kufa. Wakati nafikiria kufungua biashara nilikuwa sina mtaji na sikujua nitaupata wapi lakini niliamua kutafuta wapi wanauza bidhaa hizo kwa jumla ili nikifanikisha kupata pesa nisiangaike kutafuta mzigo unapopatikana.

Badaye niliamua kuuza kiwanja changu kwa shilingi 2,000,000/= baada ya makato ya dalali na wakili (wakili tulichangia na mnunuzi) nikabakiwa na 1.9 ku-cut story short, nilikwenda kununua mzigo baada ya kulipia chumba, nauli, nilifanikiwa kuanza na mzigo wa 900,000+

Baada ya kufungua biashara nilianza kwa taabu maana wanasema mwanzo mgumu, lakini nilipambana nikawa kila shilingi ninayouza naagiza mzigo Dar, hivyo hivyo baada ya siku kadhaa mahitaji ya wateja (wanaoulizia) bidhaa fulani ikawa kubwa ikabidi nitafute sehemu nikope pesa niongezee mtaji nikapata 800,000 nikaongeza mtaji dukani.

Ikumbukwe kwamba hapa dukani sitoi matumizi zaidi ya matumizi ya kulihudumia duka kama umeme, mlinzi nk.

Hivyo mpaka leo siku tisini nimeingiza faida ya 1,092,600/= .

Swali langu kwenu: Je, ninakwenda vizuri na biashara hii au napiga mark time tu?
Ipi rahisi, kufuata Uganda au Dar?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umethubutu mkuu hata ungekuwa umepata faida chini ya hapo kwa upande wangu ningekupongeza tu wengi tunaplan za biashara pamoja nakuwa na mitaji ila tumekuwa wagumu kuthubutu cha msingi endelea na kile unachoamini you never know siku zijazo unaweza kuwa juu zaidi ya hapo No pain No gain.
Asante sana Mkuu blessed
 
Umethubutu mkuu hata ungekuwa umepata faida chini ya hapo kwa upande wangu ningekupongeza tu wengi tunaplan za biashara pamoja nakuwa na mitaji ila tumekuwa wagumu kuthubutu cha msingi endelea na kile unachoamini you never know siku zijazo unaweza kuwa juu zaidi ya hapo No pain No gain.
Asante sana Mkuu blessed
 
Back
Top Bottom