Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke anaevaa rangi hizo namuona mchafu kwangu Mimi mwanamke avae nyeupe tu hata akiwa kwenye hedhi.
Mwanamke anaevaa rangi hizo namuona mchafu kwangu Mimi mwanamke avae nyeupe tu hata akiwa kwenye hedhi.
TARURA, HALIMASHAURI na TANROAD, wote wameweka mabango yao, wanasubilia tu , kwanza operation, hiyo kubwa ifanyike ya kuwaondoa, ili pabakie wazi sasa atakae rudi ni kwa kibuli chake hivyo kitakacho mkuta ni juu yake!!unafikiria kweli wakishawatoa kwa mala ya kwanza, hawaweza kukaa na kujiachia kama sasa, kwani mtu anajua wakati wowote tu kinawaka, na wenye mabanda, hawataweza tena kuwa wana laza bidhaa zao humo tena, kwani ukikuta limevunjwa usiku huna wa kumuuliza!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ndo bongo na nina uwakika hawatatoka pembezoni mwa barabara
Huwezi kuwabembeleza wamachinga watii sheria eti waondoke kwa hiari! Enforcement ni nguvu tu maana yake na sii vinginevyo!!!
Mwanamke anaevaa rangi hizo namuona mchafu kwangu Mimi mwanamke avae nyeupe tu hata akiwa kwenye hedhi.
Angalia unapotamka mwanamke ujue unajumuisha hadi tumbo lililokulea kwa miezi tisaMwanamke anaevaa rangi hizo namuona mchafu kwangu Mimi mwanamke avae nyeupe tu hata akiwa kwenye hedhi.