JaidenG
JF-Expert Member
- Oct 4, 2021
- 740
- 969
Aseme tuh suu akabebe hela😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi machoziii, khaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseme tuh suu akabebe hela😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi machoziii, khaaah
Lugha hyo m sjaelewa malice inamaanisha nn mkulugenziI mean no malice to nobody
Hiyo Ni dawa kwa vichaa wote😂😂😂Lugha hyo m sjaelewa malice inamaanisha nn mkulugenzi
Kwetu manzese ila hela ipo nna viwanja dsm kibao nna miradi mingi sana sema tu npndaga kukaa uswazi mremboWe mwenyewe kwenu manzese
Tunatibu vichaa kama wewe😁😁😄😁😄Hiyo Ni dawa kwa vichaa wote😂😂😂
Imani yako itakupatia yote uyatakayoWananzengo wenzangu, sina hata 100, ila nimeipenda nyumba moja Salasala, je niombe dua gani niweze kuinunua?
Nimeikagua ina mita za mraba 1600, bei ni millions 150, Ina bwawa la kuogelea, pia ina bwawa la samaki na sehemu ya kuweka mabanda ya kuku.
Nikiipata aiseee
Duh.. kwa gia hizi hebu mtumie hata ka laki kwenye simu yake anywe savanna alainishe kooKwetu manzese ila hela ipo nna viwanja dsm kibao nna miradi mingi sana sema tu npndaga kukaa uswazi mrembo
Hahahahah nimemwambia aje manzese anajishauwaDuh.. kwa gia hizi hebu mtumie hata ka laki kwenye simu yake anywe savanna alainishe koo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaitoa kwenye salary nzima.natumia babycare, elf 7 tyu
nyie mnataka 90k, robo ya salary yangu nzima
mie naitoa wapi sasa ?
Kuna jamaa alikua ananifatiliaa, sasa sikua namuelewa, siku hiyo ana nambia "km hunitaki bas nitunuku tuu"[emoji16][emoji16][emoji16]Nitunukuuu
😁😁😄Kuna jamaa alikua ananifatiliaa, sasa sikua namuelewa, siku hiyo ana nambia "km hunitaki bas nitunuku tuu"
Nlimchambaaa yule Kaka nahisi alijuta kunifahamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AminaImani yako itakupatia yote uyatakayo
Woiiiiiih mie mtu nikimpendaa, mbna hadi kuhonga namuhongaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu navo fall in love sasa, mie nikimpendaa mtu mbna atafurahi, ila akinitibua nasepaa afu sijuagi kurudia nilipopita, uwiiiiiiihKwan ukimtunuku bure unapata shida gani mpe apunguze nyeto
Siji huko, nyie mkisha kunywa dabokiki mnapiga mandeHahahahah nimemwambia aje manzese anajishauwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa, wee ndo umueleweshee, si ndo ana kuhoji au. WoiiiiiiihKwan tunamuongelea nani au na ww unajizima data mkurugenzi...?mbna unakua muoga muoga ww[emoji1][emoji16] eti cocastic unamuelewa uyu
Hivi wanakutongoza au wewe ndio unawatoñgoza?Woiiiiiih mie mtu nikimpendaa, mbna hadi kuhonga namuhongaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu navo fall in love sasa, mie nikimpendaa mtu mbna atafurahi, ila akinitibua nasepaa afu sijuagi kurudia nilipopita, uwiiiiiiih