Nimeishi Urusi najua Tamaduni zake, pamoja na Ukubwa wa Jeshi lake Rushwa ndiyo inawafanya wasikamilishe malengo kwa muda

Nchini Russia kuna sabotage inaendelea ya kuungua Kwa majengo muhimu ya serikali hii ni siku ya 5 mfululizo baadhi ya majengo yanaungua Moto..... Putin Akili yake na nguvu zake amezielekeza Ukraine lkn ndani ya nchi yake kuna watu wanamsumbua Sana hasa kwenye ishu za usaliti.

Alafu western countries hawajafunga balozi zao ingawa wanagombana kuhusu mafuta na gesi hii inapelekea kufanya njama za kijasusi ili wapate Siri na mbinu anazotumia vitani.
Acha tusubiri tuone mbele ya safari itakuaje
 
Uliishi Urusi ya Tandahimba
 
Sawa mkuu tumeshajua umefika Russia.
Hofu yangu itakuwa Russia ya Gongolamboto. Na yale makombora yakutungulia ndege yalipolipuka yalikuathiri kiasi chakudhani umefika Russia ya kweli

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Gongolamboto Kote huko
Tandahimba Kwenye Korosho kule
 
Hahaha! Kwa jinsi ulivyoandika tu hapa napata kujua kuwa huko kichwani mwako ni hewa! Ikiwa kama mtu utashindwa kuandika summary ili kufikisha ujumbe kama ulivyokusudia basi sina shaka kabisaa ww huna uwezo kabisa wa kuandika na kufanya tafiti! Kama hujui hata kuandika inclusive abstract! Wewe ni hewa kabisaa!
 
Leo umezungumza ukweli mkuu majamaa inaonekana yanapenda sana rushwa kama makenya akina MK254 yalifikia hatua ya kuwauzia adui zao alshabab siraha
Kifaru cha Urus sasa kinauzwa dola elfu 5 wapiganaji wa Russia wanakuachia na yale magari yenye makombora masafa marefu kila gari dola elfu 10 wanachukua na kujifanya wametekwa hawataki kurudi Russia ukiwapa watauawa!!!

Ndege za kivita dola laki moja mrusi anatua bila kuachia mabomu anakabidhi ndege na mibomu yote intact anakwambia mishahara midogo jeshini wakubwa wanakula kwa urefu wa kamba zao .Putin na magenerali wa Jeshi Sisi huku chini choka mbaya nipe ila usinirudishe Urusi

Ila Urusi sirudi hata ukitaka heri uniue wewe
 
Leta sosi
 
Mwl wewe ndye yulemuhadhir msaafu AZAVAEL LWAITAMA ?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Leo umezungumza ukweli mkuu majamaa inaonekana yanapenda sana rushwa kama makenya akina MK254 yalifikia hatua ya kuwauzia adui zao alshabab siraha

Ha ha ha!!! Usipende sana kuelekeza kidole bila kujikagua, Tanzania isingekua kwa rushwa leo hii ingekua mbali sana kiuchumi kwenye level ya akina Afrika Kusini, maana ina raslimali nyingi sana madini ya kumwaga, ila leo hii mara unanskia sijui jiwe la rubi lipo Ulaya limetokea Tanzania kwa kupitia figisufigisu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…