Nimeishi Urusi najua Tamaduni zake, pamoja na Ukubwa wa Jeshi lake Rushwa ndiyo inawafanya wasikamilishe malengo kwa muda

nimeongeza ujuzi
 
Hebu tuondolee utumbo wako maku wewe hayo mauongo kawasimulie wangese wenzako ndumku wewe
 
Siyo niliishi hata now naishi Urusi na sitoki leo wala kesho Ubaya ninyi Vijana wa sasa mnadhani Kwenda Urusi ni ajabu

Britanicca
Wewe ni mpumbavu vitu unavyoongea ni mpumbavu pekee atakuamini siku hizi hata uishi wapi huwezi wadanganya watu kisenge na si ajabu kuishi hata america siyo urusi pekee
 
Usosholisti bila ufisadi hauendi vinaenda kwapamoja na ndoma uwazi haupo tupunguze kujisifia wacomunisti tunapenda kiki
 
Bado hii ngonjera ipo sahihi?Marioupol ipo ktk hatua za mwisho kuchukuliwa sijui kama ndoto zako bado ni zile zile.Subiri kesho saa 12 asubuhi muda wa mwisho kuondoka raia kiwandani then utajua kuwa shetani NATO na vibaraka wake hawajui.
 
Mi ni neutral
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…