% kubwa wazungu wanajielewa awana majivuno utakuta mzungu mkurugez mkubwa tu, unaweza kumkuta anapiga story na shamba boy wake na shamba boy anaweza akamtuma maji yakunywa mzungu akaenda kumleteaTatizo lako umekutana na wazungu wawili tayari umejumuisha wote. Usipende kujenerolaizi mkuu..
Nenda uko ukoSijawahi kuona au kumsikia Mzungu ukikutaka nae sehemu yoyote ile akawa ama anapenda ujue Kiwango chake cha Elimu au awe ' anajifaragua / anaringia ' nayo ila kwa Waafrika hasa Watanzania yaani ukikutana nae tu atataka akuonyeshe Yeye ni Msomi vipi au lazima tu ataanza ' Kutambia ' Elimu yake aliyonayo.
Tofauti hii ya Kimsingi inatokana na nini? Je labda Wazungu ndiyo Mambwigira / Washamba hawajitapi kwa Elimu zao Kubwa walizonazo na pengine labda Sisi Waafrika ( Watanzania ) kwa Kujifaragua / Kujiringishia huko ndiyo tuko sahihi na kwamba ni ' Wajanja ' sana au?
Mwisho nimalizia kwa Kuwaulizeni hivi Elimu na Kupita Ngazi zote za Elimu kisha unakuja ' Kutambia ' Watu Mitaani au Elimu ni ' Tafsiri ' pana mno ambayo kuna Uwezekano mkubwa kwamba labda Waafrika ( Watanzania ) wanaopenda Kujiita Wasomi huenda wakawa hawaijui?
Yaani kuna Wazungu wana Elimu za ' Kutukuka ' kabisa hadi ukiziona CV's zao unaweza ukatamani Kimbunga ' Kenneth ' kije tu haraka kiondoke nawe mpaka Bahari ya Hindi ukafie huko lakini wala hawana ' Mikogo ' na Kwanza hawapendi Kujisifu kwa hizo Elimu zao na pia hawapendi hata Mtu uzijue hali ambayo ni tofauti sana kwa Sisi Waafrika ( Watanzania ) ambapo Mtu akiona hujajua au huijuie Elimu yake basi atafanya hata tu ' Uchokozi ' ili mgombane na mkianza tu Kugombana nae ndiyo utamsikia anaanza Kukushia Vyeti vyake vya Certificate Level, Diploma Level, Degree Level, Masters Level na Doctorate Level na usipokuwa makini atakutajia na hadi nchi zote za Ulaya alizowahi ' Kubahatika ' Kwenda hadi utamkoma.
Nawasilisha.
Imbecile.
Ukweli uwa haupindi. Kama amesoma akimwambia amesoma tatizo nini?Sijawahi kuona au kumsikia Mzungu ukikutaka nae sehemu yoyote ile akawa ama anapenda ujue Kiwango chake cha Elimu au awe ' anajifaragua / anaringia ' nayo ila kwa Waafrika hasa Watanzania yaani ukikutana nae tu atataka akuonyeshe Yeye ni Msomi vipi au lazima tu ataanza ' Kutambia ' Elimu yake aliyonayo.
Tofauti hii ya Kimsingi inatokana na nini? Je labda Wazungu ndiyo Mambwigira / Washamba hawajitapi kwa Elimu zao Kubwa walizonazo na pengine labda Sisi Waafrika ( Watanzania ) kwa Kujifaragua / Kujiringishia huko ndiyo tuko sahihi na kwamba ni ' Wajanja ' sana au?
Mwisho nimalizia kwa Kuwaulizeni hivi Elimu na Kupita Ngazi zote za Elimu kisha unakuja ' Kutambia ' Watu Mitaani au Elimu ni ' Tafsiri ' pana mno ambayo kuna Uwezekano mkubwa kwamba labda Waafrika ( Watanzania ) wanaopenda Kujiita Wasomi huenda wakawa hawaijui?
Yaani kuna Wazungu wana Elimu za ' Kutukuka ' kabisa hadi ukiziona CV's zao unaweza ukatamani Kimbunga ' Kenneth ' kije tu haraka kiondoke nawe mpaka Bahari ya Hindi ukafie huko lakini wala hawana ' Mikogo ' na Kwanza hawapendi Kujisifu kwa hizo Elimu zao na pia hawapendi hata Mtu uzijue hali ambayo ni tofauti sana kwa Sisi Waafrika ( Watanzania ) ambapo Mtu akiona hujajua au huijuie Elimu yake basi atafanya hata tu ' Uchokozi ' ili mgombane na mkianza tu Kugombana nae ndiyo utamsikia anaanza Kukushia Vyeti vyake vya Certificate Level, Diploma Level, Degree Level, Masters Level na Doctorate Level na usipokuwa makini atakutajia na hadi nchi zote za Ulaya alizowahi ' Kubahatika ' Kwenda hadi utamkoma.
Nawasilisha.
Sijawahi kuona au kumsikia Mzungu ukikutaka nae sehemu yoyote ile akawa ama anapenda ujue Kiwango chake cha Elimu au awe ' anajifaragua / anaringia ' nayo ila kwa Waafrika hasa Watanzania yaani ukikutana nae tu atataka akuonyeshe Yeye ni Msomi vipi au lazima tu ataanza ' Kutambia ' Elimu yake aliyonayo.
Tofauti hii ya Kimsingi inatokana na nini? Je labda Wazungu ndiyo Mambwigira / Washamba hawajitapi kwa Elimu zao Kubwa walizonazo na pengine labda Sisi Waafrika ( Watanzania ) kwa Kujifaragua / Kujiringishia huko ndiyo tuko sahihi na kwamba ni ' Wajanja ' sana au?
Mwisho nimalizia kwa Kuwaulizeni hivi Elimu na Kupita Ngazi zote za Elimu kisha unakuja ' Kutambia ' Watu Mitaani au Elimu ni ' Tafsiri ' pana mno ambayo kuna Uwezekano mkubwa kwamba labda Waafrika ( Watanzania ) wanaopenda Kujiita Wasomi huenda wakawa hawaijui?
Yaani kuna Wazungu wana Elimu za ' Kutukuka ' kabisa hadi ukiziona CV's zao unaweza ukatamani Kimbunga ' Kenneth ' kije tu haraka kiondoke nawe mpaka Bahari ya Hindi ukafie huko lakini wala hawana ' Mikogo ' na Kwanza hawapendi Kujisifu kwa hizo Elimu zao na pia hawapendi hata Mtu uzijue hali ambayo ni tofauti sana kwa Sisi Waafrika ( Watanzania ) ambapo Mtu akiona hujajua au huijuie Elimu yake basi atafanya hata tu ' Uchokozi ' ili mgombane na mkianza tu Kugombana nae ndiyo utamsikia anaanza Kukushia Vyeti vyake vya Certificate Level, Diploma Level, Degree Level, Masters Level na Doctorate Level na usipokuwa makini atakutajia na hadi nchi zote za Ulaya alizowahi ' Kubahatika ' Kwenda hadi utamkoma.
Nawasilisha.