Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliomba kazi ya human resource pale udom, nafasi ni watu 9 lakini tuliokuwa shortlisted eti ni 712, jamani hii ni shortlist kweli au wanataka tukapoteze nauli zetu then mlacha awape kazi wapare wenzie na watu wa kaskazini??? Maana asilimia karibu 70 ya watu walioitwa ni watu wa huko...kwakweli kuliko kupoteza nauli yangu bora nipanue kilimo changu cha nyanya huku kwetu kigoma....inegkuwa wameshort list hata watu 70 afadhali lakini 712 daaaah...otherwise i wish all those who are going the best of luck out there mie siendiiiii
Niliomba kazi ya human resource pale udom, nafasi ni watu 9 lakini tuliokuwa shortlisted eti ni 712, jamani hii ni shortlist kweli au wanataka tukapoteze nauli zetu then mlacha awape kazi wapare wenzie na watu wa kaskazini??? Maana asilimia karibu 70 ya watu walioitwa ni watu wa huko...kwakweli kuliko kupoteza nauli yangu bora nipanue kilimo changu cha nyanya huku kwetu kigoma....inegkuwa wameshort list hata watu 70 afadhali lakini 712 daaaah...otherwise i wish all those who are going the best of luck out there mie siendiiiii
Kila mtu sasa anakula kwa urefu wa kamba yake. Usipoteze muda kaka, kama kweli hiyo ni shortlist basi achana nao. Sijawahi kusikia mahali pengine nafasi moja watu 47!, hiyo ni kwa mujibu wa kanuni ipi ya utumishi?
Sijaona point ya kuanzisha thread hii kitu
Kila mtu sasa anakula kwa urefu wa kamba yake. Usipoteze muda kaka, kama kweli hiyo ni shortlist basi achana nao. Sijawahi kusikia mahali pengine nafasi moja watu 47!, hiyo ni kwa mujibu wa kanuni ipi ya utumishi?
Niliomba kazi ya human resource pale udom, nafasi ni watu 9 lakini tuliokuwa shortlisted eti ni 712, jamani hii ni shortlist kweli au wanataka tukapoteze nauli zetu then mlacha awape kazi wapare wenzie na watu wa kaskazini??? Maana asilimia karibu 70 ya watu walioitwa ni watu wa huko...kwakweli kuliko kupoteza nauli yangu bora nipanue kilimo changu cha nyanya huku kwetu kigoma....inegkuwa wameshort list hata watu 70 afadhali lakini 712 daaaah...otherwise i wish all those who are going the best of luck out there mie siendiiiii
Niliomba kazi ya human
resource pale udom, nafasi ni watu 9 lakini tuliokuwa shortlisted eti ni
712, jamani hii ni shortlist kweli au wanataka tukapoteze nauli zetu
then mlacha awape kazi wapare wenzie na watu wa kaskazini??? Maana
asilimia karibu 70 ya watu walioitwa ni watu wa huko...kwakweli kuliko
kupoteza nauli yangu bora nipanue kilimo changu cha nyanya huku kwetu
kigoma....inegkuwa wameshort list hata watu 70 afadhali lakini 712
daaaah...otherwise i wish all those who are going the best of luck out
there mie siendiiiii
Huwezi jua mkuu, still una chance kubwa ya kushinda kaka... una probability ya 0.012% kushinda
mkuu hapa kwenye red umepateje?Huwezi jua mkuu, still una chance kubwa ya kushinda kaka... una probability ya 0.012% kushinda
usaili ni tarehe 17 saa tatu asubuhi na saa nane mchana kwa walioomba HR NA U-WADERN