Nimeitwa kwenye interview ya Udereva

Nimeitwa kwenye interview ya Udereva

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Nimekuta lori liko hivyo natakiwa nilitoe. Naona kabisa u-jobless ukiendelea.
96D4FDF9-8EB6-4A36-8E3B-318ABB5F14B5.jpeg
 
Huo ndio usaili kwa vitendo baada ya kufaulu wa kuandika, ukifaulu hapo tena unaingia wa kuhojiwa.
Ila huo ni kigongo mdogo wangu yaani hapo waeza pagawa aisee.
Kibaya zaidi unaweza kukuta wana mtu wao mfukoni ila wengine mnasoteshwa ili kuhalalisha process
Ajira za Kibongo bongo tushajizoelea na si ajabu yule mtu wao hata robo ya huo msoto hapitii.
 
Ila huo ni kigongo mdogo wangu yaani hapo waeza pagawa aisee.

Ajira za Kibongo bongo tushajizoelea na si ajabu yule mtu wao hata robo ya huo msoto hapitii.
Huyo hawezi kusota, mnaosota manajikuta hamjaitwa na kubaki kujipa moyo kuwa huenda majina yamewekwa kwenye kanzidata ili baadae nafasi zikipatikana mpangiwe vituo.

Connectiona ni nzuri kwa yule mwenye nayo, kwa yule ambaye hana ni tabu sana
 
Back
Top Bottom