Nimeitwa nikaambiwa niandike barua ya kujisafisha, hili limekaaje?

Nimeitwa nikaambiwa niandike barua ya kujisafisha, hili limekaaje?

Mimi ni mkufunzi Wa mafunzo ya kijeshi nimekuwa nikifanya recruitment ni muda sasa..
Pindi mafunzo yanapochanganya baadhi ya wanafunzi huwa wanaweza kuibua tuhuma ambzo hazina ukweli Na kuzifikisha kwenye uongozi Wa juu...

Lengo likiwa ni kupunguza kasi ya mafunzo .kwa siku nyingi sasa uongozi uliokuwepo chuoni hapa ulikuwa Na uzoefu Na mambo haya kwa hiyo hata ilpotkkea mambo Kama haya kumekuwa kukitumika busara kuyamaliza lakini kwa sasa uongozi umebadilika sasa Na kuna kozi inaendelea hapa sasa kuna siku wakati napokea matatizo ya wanafunzi hao mmoja Wa wanafunzi hao Wa kike(matola) alisimama Na kusema kuna sikika minong'ono kuwa yeye anamahusiano Na mim baada ya kuwa uliza wanafunz walikana kabisa kuwa hakuna kitu Kama hicho..

Sikukaa kimya niliamua kulipeleka kwa uongozi huo Wa Chuo kama ilivyo ada nikipokea matatizo ya wanafunz hupelekwa huko..nimekaa muda Kama siku mbili hiv nmeitwa naambiwa niandike barua ya kujisafisha Na tuhuma hizo?

Hii ipoje wakuu? Lipi ni jema kwangu Sir major kuandika kama tatizo la wanafuzi au kuandika Maelezo binafsi...? Nisaidieni.
Mwajiri ana haki ya kukuomba maelezo na wewe una wajibu wa kujibu
 
Yani kumbe siku hizi mambo ya kijeshi yanaletwa uraiani kuomba ushauri?hivi unatatajia raia atakushauri nini hapa?
Kama kweli wewe ni askari tena wa cheo hicho cha sir major basi serikali imekula hasara,right ningekua mkubwa wako wa kazi basi "CB" ya mwaka mzima ingekuhusu,maana inaonesha unatabia za kike sana!!
Jirekebishe wewe acha ujinga..!
Umenikera sana kuleta mambo ya kijeshi eti yajadiliwe na Mange Kimambi hapa mitandaoni!
 
Mimi ni mkufunzi Wa mafunzo ya kijeshi nimekuwa nikifanya recruitment ni muda sasa..
Pindi mafunzo yanapochanganya baadhi ya wanafunzi huwa wanaweza kuibua tuhuma ambzo hazina ukweli Na kuzifikisha kwenye uongozi Wa juu...

Lengo likiwa ni kupunguza kasi ya mafunzo .kwa siku nyingi sasa uongozi uliokuwepo chuoni hapa ulikuwa Na uzoefu Na mambo haya kwa hiyo hata ilpotkkea mambo Kama haya kumekuwa kukitumika busara kuyamaliza lakini kwa sasa uongozi umebadilika sasa Na kuna kozi inaendelea hapa sasa kuna siku wakati napokea matatizo ya wanafunzi hao mmoja Wa wanafunzi hao Wa kike(matola) alisimama Na kusema kuna sikika minong'ono kuwa yeye anamahusiano Na mim baada ya kuwa uliza wanafunz walikana kabisa kuwa hakuna kitu Kama hicho..

Sikukaa kimya niliamua kulipeleka kwa uongozi huo Wa Chuo kama ilivyo ada nikipokea matatizo ya wanafunz hupelekwa huko..nimekaa muda Kama siku mbili hiv nmeitwa naambiwa niandike barua ya kujisafisha Na tuhuma hizo?

Hii ipoje wakuu? Lipi ni jema kwangu Sir major kuandika kama tatizo la wanafuzi au kuandika Maelezo binafsi...? Nisaidieni.
Nahisi Haujapiga Kozi Yeyote Na Kama Umepiga Basi Haujaivaa Mambo Ya Jeshi Ni Siri
 
Yani kumbe siku hizi mambo ya kijeshi yanaletwa uraiani kuomba ushauri?hivi unatatajia raia atakushauri nini hapa?
Kama kweli wewe ni askari tena wa cheo hicho cha sir major basi serikali imekula hasara,right ningekua mkubwa wako wa kazi basi "CB" ya mwaka mzima ingekuhusu,maana inaonesha unatabia za kike sana!!
Jirekebishe wewe acha ujinga..!
Umenikera sana kuleta mambo ya kijeshi eti yajadiliwe na Mange Kimambi hapa mitandaoni!
Kaka kumbe na wewe umeliona hili?,tunalishwa tango pori hapa
 
Kweli ww una siri mambo kijeshi unaleta kwny mtandao ili ikusaidie nn?inaelekea unafany mafunzo ww bado raia tu
 
huwezi kuambiwa andika barua km hujakiri kosa au kuomba kustafu ,pia kuna mahakama ya kijeshi chuoni.kuruta hajafikia kuwa na haki dhidi ya mkuu wake tena si enzi hizi za baba jesca,baba rizmoko ndio alikuwa ana mind vijana wakipewa dozi kamili
 
Back
Top Bottom