Nimeitwa Shetani baada ya kutoa ushauri ambao nimeombwa. Nikirudishia haya matusi najua tu itakuwa issue kwa ndugu

Hapa bongo washasema mzee asubirie tu kudanja. Yupo stage ya mwisho sana. Hamna cha kufanya. Sema ndugu wanataka nao waonekane na wengine wawili nahisi ni safari ya kwenda India ndo wanaitaka si matibabu. Uwezekano wa kupona kwa kansa hamna. Ila Mungu anaweza mponya kwa miujiza so abaki hapa aombewe. Hawataki.wanataka aende india. Mzee mwenyewe kachoka sana....ana kansa ana BP yupo hoi anakula kwa mirija.
 
Te ee!! teee!!teeee!! dogo umenifurahisha sana!!! yaani mawazo yako ni sawa na yaleee ya Rais wa zamani wa Uganda Idd Amini Dada! Yaani huyu Rais ilikuwa hivi ''aliwaita viwete wote Uganda ili awape Misaada!! si wakaja kwa wingi!!

kilichotokea hee!!ee!! wooote humu na Dunia mnajua!! ikawa hivi .....

aliwajaza kwenye zile ISUZU binua mchanga mpyaa!! kma mia hivi, toleo la kwanza lile!! ma-tone kwa ma- tone bana!! kadri zile gari zilivo weza beba, akasema twendeni huku wapendwa mkapate zawadi zenu!!

si Id amini akawapeleka Mto Nile?? Binua zile isuzu binua na wewe, akawa mwaga Mto Nile bana! matani kwa matani!! wale walio ng'ang'ania walikula shaba faster Mchine gun serious!! some wakaliwa na Mamba live!! clip zimo humu!

Alipo ulizwa na Dunia Kwa nini?? akajibu ''eti watu wa hivi hawahitajiki Uganda sababu hawana faida Uganda'' Dunia ilimtafasiri km Rais kichaa!! kuumbe mpaka leo bado mpo watu wenye mawazo km ya huyu jamaa. sasa km ukiendelea kuwazaa wa ivo itakuwaje??

Eliminations of other people in de World lilikuwa ni wazo la Hitre pia!! kuondoa viwete wote ujermani, Jews wote, Germany- Black Africans wote!! akawaweka kwa concetrations Camp, Gas chamber, wakapigwa kiberiti faster! kilichomkuta hee!!

Jiulize nyie Waafrica km wewe! mnamchango gani, humu Duniani ya leo?? si ni kama huyo mtoto tu?? kwani mna nini!! angalia hapo ulipo ni kitu gani is Made from one of African country??

kwa akili zako km ungekuwa mzungu ungeua waafrica wote? maana hawana Faida, kwani wana mchango gani Duniani humu? zaidi ya kupigana miti tu, km ni ivo basi kufa wewe kwanza make huna faida Duniani kwanini hujafa??....

Piga ua galagaza Mataahila, viwete, wenye mtindio wa ubongo hawatakaa waishe humu Duniani, so utakacho kula weye na yeye huyo kiwete atakula hicho hicho !! tena kiipokuwepo mie nikae na njaa ila yeye ale first hicho bora kilicho patikana Daima dumu hafi, yeye kwanza mie wa mwisho!!

tena km ninge weza mngeniletea Mimi! akae kwangu! Naomba Mungu sana km ananisikia nisiwe na roho km hii yako na wengine km wewe!!! ki- Idd Amini! najua mie siwezi ila Mungu ataniwezesha! Kuumbe watu km nyie hamjaisha!!
 
Yeye nyumba hakuirithi. Hivyo hata akifanayo watoto watajenga zao. Tatizo ni pale nyumba inauzwa anaenda India na anapona. Sijui anakuja kuishi vipi. Maana nguvu hana na Mali ishauzwa
Ata panga kupitia watoto hao hao!! si ajabu akajenga Bonge la Bunga low!! kuliko lile alouza!! hata km atapanga ni matumizi pia!! kwani alizaliwa na Nyumba? Mbali na kupanga, mbona Bongo hapo tulianza maisha kwa kukaa kwa watu? tena kwa masimango
Unavurugwa hasa! eti mara una jidai sababu Baba yako ana pesa!! unajisikia,

Mara tumesema kwa watu hao siyo ndug zetu, mara tutelekezwe!! hayo yoote ni ili wapate uhalali wa kutufukuza majumbani mwao!! kisingizio tuna nyodo!

weye unasafiri waenda kuishi Bongo unaacha nyumba safi nzuri full matumizi umeme, maji safi ya ziwani, self container, unaenda anza moja au kupanga Bongo! USA, South africa na kule unaonekana maskini tu! kwani huko unaenda na nyumba yako ya Mkoani kwenu??

Anae kufanyia hivi alikaa kwenu full matumizi wkt babako bado ana nguvu yaani anazo!!! utasingiziwa mambbo kibao mara umemtongoza mke wake na mambo yanayo fanana na hayo!! ili tu uondoke! na kweli unaondoka kwingine!

Dogo mawazo Mgando sana haya! kwa mawazo haya hutakaa utoke kwenu! ukiangalia kajumba aliko weka baba yako unaumia hutakaa utoke hapo!! kuumbe kuna watu wana mijengo hatari!!
 
Mijitu mingine sijui ikoje....hovyo sana. Mtu anakuomba ushauri halafu kumbe tayari ana maamuzi yake kichwani. Unataabika kufikiri unampa ushauri anaanza kuongea shit tena.
Late 70's ana watoto wawili wadogo chini ya miaka 20.....hakika mtihani.....

Poleni kwa kuuguliwa......
 
Ushauri wa kupuuzwa huu, na huyo alikuja kuomba ushauri kwako sio kua utachosema wewe ndo sheria wala usikarike ana haki ya kuukubali au kuukataa.

Na muache kutoa macho kwa mali alizochuma huyo mzee, kama ni kuuza kumtibia yeye ziuzwe tu si zake mwenyewe. Kwa imani yake mzee anaona akipelekwa India atapona, kwa imani yenu mnaona akiombewa ndo ataopona, nyie sio yeye acheni ubinafsi nyie watu fanyeni kile mgonjwa anaona ni sahihi kwa mustakabali wa afya yake.

Na kuna wadau hapo wanasema eti kwa waafrika hawataelewa, aisee nyie watu ni wa ajabu sana kwamba wazungu watu wakizeeka huwa hawatibiwi badala yake wanaachwa wafe?? Na huko kwa wenzetu wazee ndio wengi kwakua wanatibiwa maradhi yao kwa wakati.
 
 
Miaka 70 anaogopa kufa huyo huenda anaogopa aliyoyatanguliza; Kama ana nyumba moja ikiuzwa baadaye watoto wataishi wapi? Ushauri uliyotoa uko sawa sawa sema watakuchukia waliopanga kupata chajuu mali ikiuzwa.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…