Kuna mtu alipata mtoto kiwete, hajiwezi, hata kama atakuja kukua hatopata nafuu yoyote ile kutokana na hali yake... wakati tunapiga mitungi na baba mttoto nikatoa maoni yangu kwamba ingekua ni wangu ningefanya maamuzi ya kumpumzisha coz anapata tabu sana kuanzia yeye mwenyewe(mtoto) na wanaomtunza.
Asee nlishambuliwa kwa maneno mengi.
Juzi jamaa kaja ananiuliza afanyaje kuhusu yale maoni yangu... maana imekua tabu... hali ya uchumi mbovu, mke kachoka ye mwenyewe hana muda wa kukaa home....
Nikamwambia afanye anavyoona inafaa kwa kiwa tatizo ni lake.
Sometimes lazma tuangalie faida ya uwepo wetu duniani , km uwepo wako ni tatizo kwa wengine maana yake wewe unatakiwa uwe eliminated kwenye equation, au km sio watu wasiumize kichwa kwa kuwa hakuna faida za kuwekeza nguvu na akili ktk maisha yako.
Te ee!! teee!!teeee!! dogo umenifurahisha sana!!! yaani mawazo yako ni sawa na yaleee ya Rais wa zamani wa Uganda Idd Amini Dada! Yaani huyu Rais ilikuwa hivi ''aliwaita viwete wote Uganda ili awape Misaada!! si wakaja kwa wingi!!
kilichotokea hee!!ee!! wooote humu na Dunia mnajua!! ikawa hivi .....
aliwajaza kwenye zile ISUZU binua mchanga mpyaa!! kma mia hivi, toleo la kwanza lile!! ma-tone kwa ma- tone bana!! kadri zile gari zilivo weza beba, akasema twendeni huku wapendwa mkapate zawadi zenu!!
si Id amini akawapeleka Mto Nile?? Binua zile isuzu binua na wewe, akawa mwaga Mto Nile bana! matani kwa matani!! wale walio ng'ang'ania walikula shaba faster Mchine gun serious!! some wakaliwa na Mamba live!! clip zimo humu!
Alipo ulizwa na Dunia Kwa nini?? akajibu ''eti watu wa hivi hawahitajiki Uganda sababu hawana faida Uganda'' Dunia ilimtafasiri km Rais kichaa!! kuumbe mpaka leo bado mpo watu wenye mawazo km ya huyu jamaa. sasa km ukiendelea kuwazaa wa ivo itakuwaje??
Eliminations of other people in de World lilikuwa ni wazo la Hitre pia!! kuondoa viwete wote ujermani, Jews wote, Germany- Black Africans wote!! akawaweka kwa concetrations Camp, Gas chamber, wakapigwa kiberiti faster! kilichomkuta hee!!
Jiulize nyie Waafrica km wewe! mnamchango gani, humu Duniani ya leo?? si ni kama huyo mtoto tu?? kwani mna nini!! angalia hapo ulipo ni kitu gani is Made from one of African country??
kwa akili zako km ungekuwa mzungu ungeua waafrica wote? maana hawana Faida, kwani wana mchango gani Duniani humu? zaidi ya kupigana miti tu, km ni ivo basi kufa wewe kwanza make huna faida Duniani kwanini hujafa??....
Piga ua galagaza Mataahila, viwete, wenye mtindio wa ubongo hawatakaa waishe humu Duniani, so utakacho kula weye na yeye huyo kiwete atakula hicho hicho !! tena kiipokuwepo mie nikae na njaa ila yeye ale first hicho bora kilicho patikana Daima dumu hafi, yeye kwanza mie wa mwisho!!
tena km ninge weza mngeniletea Mimi! akae kwangu! Naomba Mungu sana km ananisikia nisiwe na roho km hii yako na wengine km wewe!!! ki- Idd Amini! najua mie siwezi ila Mungu ataniwezesha! Kuumbe watu km nyie hamjaisha!!