Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Sijawahi kuikagua,lakini amesafiri na akanambia nitafute ufunguo kwenye pochi,katika harakati za kutafuta funguo ndo nimekutana na hii kitu!!!
hahahahah yawezekana ni maelezo toka kwa fundi kwamba ukifungua pochi na kufungua hayo madude ndo kwisha habar yako.

Pole mkuu
 
Pole sana mkuu, hapa namkumbuka mwl. wangu wa literature alikuwa anatuambia, "always don't trust a woman, women are women they could never understand ..." hapo mkuu kifo kinakunyemelea kuwa naye makini sana.
 
Hiyo ni danganya mtu tu. Na si lugha ya kiarabu hakika, na watu wana mbinu mbalimbali kupumbaza watu
 
Huyo anajifunza lugha kua na amani tu....ingekua ushirikina unasaidia sumbawanga pangekua kma dubai au singapore
 
Hayo sio maneno bali ni herufi zilizochangamywa ambazo huwezi kulipata neno kamili hutumiwa na watu wenye imani za kienyeji kama kinga au bahati au dawa
 
a99f1fdc67fd19bd91cc1cd6aaa1a96b.jpg


Tayari mtambo ushalipuka
 
Wana jukwaa naomba nisipoteze muda niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimepitia misuko suko mingi sana katika mahusiano,ilifika mahali nikaomba wadau mnishauri kwa baadhi ya mambo yaliyonikumba,nawashukuru wengi mlinishauri na maisha yakaendelea.

Nilipata binti,mpole na mtaratibu sana,nimekuwa naye katika vipindi vigumu na hakuwahi kuonyesha hali yoyote yenye mashaka.

Nimeshitushwa sana leo baada ya kuona vitu vya ajabu kwenye mkoba wake,(ambao sikuwahi kuuona tangu nimefahamiana naye,).

Naviweka hapa,wataalamu wa lugha ya kiarabu naomba mnisaidie kutafsiri maana ya maneno haya,nimekuta karatasi ikiwa na picha yangu,imeandikwa kwa maandishi mekundu kwa lugha ya kiarabu,halafu imefungwa na karatasi nyeusi!!!

View attachment 532069View attachment 532071View attachment 532072


ndo usharogwa hivyo,unapenda jitu kumbe chawi,kazi yake kuamini ulozi
 
DUNIA INA MAMBO .NIMECHOKA UPWEKE NGOJA NA MIE NIKALOGE NAOMBA NAMBA YA MPENZI WAKO MKUU
Miss natafuta ww kama ungekuwa mwanamuziki mm ningekuwa shabiki wako namba moja kwa jinsi ninavyokupenda,huna haja ya kwenda kuloga ww njoo unipande kichwani ili uwe ndyo dira yangu milele nisipotee!
 
Amna cha maana kilichoandikwa hapo, mganga wake tapeli hata kiarabu hajui, inshort ni michoro korokocho tu ya kutisha bt hamna neno hata moja linalosomeka. Wanaita talasimu, muhim we stick kwa mungu wako yote hayo yatapita mbali
 
Ninachoweza kukushauri mkuu fanya hivi;
Peleka hyo picha ya maandish sehem yoyote palipo na msikiti ulio karib na hapo ulipo then onana na Shekh yeyote privately atakusaidia kupata tafsir
 
Back
Top Bottom