hahahahah yawezekana ni maelezo toka kwa fundi kwamba ukifungua pochi na kufungua hayo madude ndo kwisha habar yako.Sijawahi kuikagua,lakini amesafiri na akanambia nitafute ufunguo kwenye pochi,katika harakati za kutafuta funguo ndo nimekutana na hii kitu!!!
Naamini nia haikuwa njema kwangu,yawezekana ilikuwa njema kwake!!!Kiongozi nasikitika kuwa ayo maneno hayajawaigi kumuacha mtu salama
Pole sana
Wana jukwaa naomba nisipoteze muda niende moja kwa moja kwenye mada.
Nimepitia misuko suko mingi sana katika mahusiano,ilifika mahali nikaomba wadau mnishauri kwa baadhi ya mambo yaliyonikumba,nawashukuru wengi mlinishauri na maisha yakaendelea.
Nilipata binti,mpole na mtaratibu sana,nimekuwa naye katika vipindi vigumu na hakuwahi kuonyesha hali yoyote yenye mashaka.
Nimeshitushwa sana leo baada ya kuona vitu vya ajabu kwenye mkoba wake,(ambao sikuwahi kuuona tangu nimefahamiana naye,).
Naviweka hapa,wataalamu wa lugha ya kiarabu naomba mnisaidie kutafsiri maana ya maneno haya,nimekuta karatasi ikiwa na picha yangu,imeandikwa kwa maandishi mekundu kwa lugha ya kiarabu,halafu imefungwa na karatasi nyeusi!!!
View attachment 532069View attachment 532071View attachment 532072
Hahahaaa,labda kama Mungu wangu amekufa!!!
Tayari mtambo ushalipuka
Staki kuamini leo umepigwa gap kiasi hiki.[emoji4][emoji4]Duuuh hatariii...
Miss natafuta ww kama ungekuwa mwanamuziki mm ningekuwa shabiki wako namba moja kwa jinsi ninavyokupenda,huna haja ya kwenda kuloga ww njoo unipande kichwani ili uwe ndyo dira yangu milele nisipotee!DUNIA INA MAMBO .NIMECHOKA UPWEKE NGOJA NA MIE NIKALOGE NAOMBA NAMBA YA MPENZI WAKO MKUU