Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Hiyo ni kombe na huandikwa kwa wino wa zafarani, hutumiwa sana kwenye shughuli za ramli
 
Acha uoga hupatwi chochote, mimi naona herufi za kiarabu tu zisizo na maana labda awe amechora makosi
 
Hiyo ni kombe na huandikwa kwa wino wa zafarani, hutumiwa sana kwenye shughuli za ramli
So kila kinachoandikwa kwa zafarani nikombe... Kombe linasomeka maana huwa niaya zakurani ..nakombe so shirk... Ila hilo so kombe niuchawi.
 
Nimependa ulivyo mjibu
 
mkuu usiwe na hofu hiko wala si kiarabu mganga wa mjini huyo maana kaunga unga tu
 
Mkuu huyo manzi ni mshirikina hakufai...ukibishia atakutuzusha Simbakaratasi
 
Hayo maandishi yanasema anakupenda na hataki kukupoteza
 
Mkuu huo uchawi kweli unadhani waganga wakitabu huwa wanaandika kiarabu fasaha??? Kombe nitafouti nauchawi wakitabu.. Kombe ndo wanaandika kiarabu maana huwa wanaandika aya za kurani.. Lakini uchawi huwezi kusoma uko hivo.
we nae yaonekana humo Ila huvumi looh
 
Hapo mtafute Alhaji Mohamed Said. Naamini atakwambia what do those words mean!

Kilichoandikwa hapo sio kiarabu per see ila ni lugha ya kuita majini! Kwahiyo huyo dada ni mshirikina tu basi.
 
Hata mimi nilishawahi kuwa na mtu wa mambo hayo lkn labda watakuwa tu walimu wa shule fulani huko Dubai,Afghanistan,Iraq
[emoji125] [emoji125]
 
Dont judge a book by its cover!!!
Yaani ni bora msichana anaekuonesha makucha yake kabisa kuliko sisi wapole!!! Tunaficha mengi
 
Ahsante sana Mkuu,walau umejibu kiu yangu,maana vitisho vimekuwa vingi sana!!!
Akirudi mkalishe chini kwa upole na mpe uchafu wake, mwambie akupeleke kwa huyo fundi na wewe kuna mtu unataka umlimbwate [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…