Hao ni asiri yao,tena ukisema umuache inabidi upate maombi ya nguvu au duwa la nguvu kutka imani yako,kuna shemeji yng mmoja tumeshamzika huu ni mwaka wa 2 coz ni nwanamke wa kirangi,huyo mama alikua mtata sana na hakuwai kuzaa,na alihishi nae miaka zaidi ya 10,shem alipotaka kuoa mwanamke mwingine hili amzalie japo mtoto na iman yake inaruhusu kuwa na wake 2,hilo likawa kosa ghafra kafa.si utani ni ukweli kbs wanawake wa kirangi punguzeni ushilikina,yapo makabula wanawake wao ni washilikina sana japo si wote lakini km % ni 90 kwa 10% nayo ni~
~warangi
~Wasambaa haswa muheza na handeni
~wamachinga
~wanyamwezi japo si sana
~Waruguru wa matombo.
Fanyeni utafiti kwa wanaume walio howa wanawake wa makabila hayo utawaona walivyo na upore uliopitiliza (uzoba) sina nia ya kuanzisha fujo huo ni ukwrli,utafiti unapingwa kwa utafiti.thanx
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using
JamiiForums mobile app