Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

It was supposed to be something called KOMBE but huyo mganga aliyeandika kamuongopea.. In short demu wako alitaka kukuchanganya kimapenz kwa kutumia njia za kishirikina so huyo demu amekuletea what was meant to be the LIMBWATA but hamna kitu kitu hapo..!
Mbane atakwambia kila kitu!
 
Leo unatakiwa usimamie kucha mkuu! Hakikisha hatumwi mtoto dukani leo...
 
Naamini humu kuna watu wa imani tofauti tofauti,na wenye kujua lugha mbali mbali,nisaidieni tafsiri kwanza,kabla ya maoni binafsi mengine,nina wakati mgumu kweli,sio kwa sababu naogopa kufa kama baadhi ya watu wanavyonitisha hapa,(kila mmoja atakufa tu,kama sio leo,kesho)isipo kuwa wakati mgumu ni kwanini anifanyie hili,(kama ni kwa ubaya)
 
Duh JF kumbe kuna wachawi. Kwa nini mshana jr na wenzako hamjitokezi kumsaidia huyu bandugu, au mnaogopa mtayaumbua majini yenu?
 
Nimefungua hicho kifungashio,nimekuta kuna baadhi ya vitu nisivyovijua,vina rangi nyeusi na vinatoa harufu ambayo nashindwa kuielezea but kama nyama ilivunda hivi,what is iiiit!!???
 
Ndio maana mm sipendi kukagua pochi ya mwanamke...mzee umekuta mpk pu.mbu ya paka iliyokaushwa....subiri mshana aje kwny fani yake
Sijawahi kuikagua,lakini amesafiri na akanambia nitafute ufunguo kwenye pochi,katika harakati za kutafuta funguo ndo nimekutana na hii kitu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…