CHIEFMANGU
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 528
- 800
- Thread starter
- #21
Mpaka hapo,sina tena imani naye,lakini nataka kujua nini hasa maana ya maandishi hayo????Achana nae mkuu demu mshirikina huyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka hapo,sina tena imani naye,lakini nataka kujua nini hasa maana ya maandishi hayo????Achana nae mkuu demu mshirikina huyo!
It was supposed to be something called KOMBE but huyo mganga aliyeandika kamuongopea.. In short demu wako alitaka kukuchanganya kimapenz kwa kutumia njia za kishirikina so huyo demu amekuletea what was meant to be the LIMBWATA but hamna kitu kitu hapo..!Wana jukwaa naomba nisipoteze muda niende moja kwa moja kwenye mada.
Nimepitia misuko suko mingi sana katika mahusiano,ilifika mahali nikaomba wadau mnishauri kwa baadhi ya mambo yaliyonikumba,nawashukuru wengi mlinishauri na maisha yakaendelea.
Nilipata binti,mpole na mtaratibu sana,nimekuwa naye katika vipindi vigumu na hakuwahi kuonyesha hali yoyote yenye mashaka.
Nimeshitushwa sana leo baada ya kuona vitu vya ajabu kwenye mkoba wake,(ambao sikuwahi kuuona tangu nimefahamiana naye,).
Naviweka hapa,wataalamu wa lugha ya kiarabu naomba mnisaidie kutafsiri maana ya maneno haya,nimekuta karatasi ikiwa na picha yangu,imeandikwa kwa maandishi mekundu kwa lugha ya kiarabu,halafu imefungwa na karatasi nyeusi!!!
View attachment 532069View attachment 532071View attachment 532072
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yekukuuuJAMAA KAFUNGWA MPAKA MAPUUUMBU
Ukiipata nishtue twende woteDUNIA INA MAMBO .NIMECHOKA UPWEKE NGOJA NA MIE NIKALOGE NAOMBA NAMBA YA MPENZI WAKO MKUU
POA SHOSTI TUMEKAA BENCHI VYA KUTOSHA TUJIONGEZEUkiipata nishtue twende wote
TOA NAMBAHii ndio tafsiri yake?
du...poleTOA NAMBA
0767 1129998TOA NAMBA
Nimefungua hicho kifungashio,nimekuta kuna baadhi ya vitu nisivyovijua,vina rangi nyeusi na vinatoa harufu ambayo nashindwa kuielezea but kama nyama ilivunda hivi,what is iiiit!!???It was supposed to be something called KOMBE but huyo mganga aliyeandika kamuongopea.. In short demu wako alitaka kukuchanganya kimapenz kwa kutumia njia za kishirikina so huyo demu amekuletea what was meant to be the LIMBWATA but hamna kitu kitu hapo..!
Mbane atakwambia kila kitu!
Sijawahi kuikagua,lakini amesafiri na akanambia nitafute ufunguo kwenye pochi,katika harakati za kutafuta funguo ndo nimekutana na hii kitu!!!Ndio maana mm sipendi kukagua pochi ya mwanamke...mzee umekuta mpk pu.mbu ya paka iliyokaushwa....subiri mshana aje kwny fani yake