Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Nimejaa hofu kwa nilichokishuhudia kwa mpenzi wangu

Hilo ni tezi dume, loweka hiyo kitu kwenye maji unywe, kutwa mara tatu.
 
Ongea nae ila huwezi dhurika, pia usimwache
 
kwenye mkoba wake ulikuwa unatafuta nini tehe tehe tehe wasiwasi wangu ni hilo furushi kulia
 
Hapo hiyo ni miezi imeorodheshwa kuanzia july mpaka june pembeni ni tarakimi za mshahara wako...mkuu unamfanyia mtu kazi kuanzia mwaka mpya wa fedha ujao
 
Hapo hiyo ni miezi imeorodheshwa kuanzia july mpaka june pembeni ni tarakimi za mshahara wako...mkuu unamfanyia mtu kazi kuanzia mwaka mpya wa fedha ujao
Katu haiwezekani,mbona mshahara wangu napata ukiwa kamili,na matumizi yangu yanafanana kabisa na kiasi cha pesa yangu!!!
 
hata ukijua maana ya hayo maneno haitakusaidia kabisa.....elewa dem wako mlozi..... chukua hizo vitu kachome uone atakavyohangaika.......then atarudi kule akaliwe pesa tena,,,, fanya kazi ya kuvichoma tuuuu... huku unakula mzigo kama kawa.......
 
Back
Top Bottom