Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
sisemi uongo mkuu .kukuombea sitakuombea hata sikujui .wewe jiombee mwenyewe . fanya jinsi hata umfumanieUniombee sasa,ili niweze kumuacha kirahisi,maana hizi dalili si njema kabisaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sisemi uongo mkuu .kukuombea sitakuombea hata sikujui .wewe jiombee mwenyewe . fanya jinsi hata umfumanieUniombee sasa,ili niweze kumuacha kirahisi,maana hizi dalili si njema kabisaa
Hahahaaa,wewe omba tu,"Mungu wetu uliye mbinguni,naomba umsaidie yule mkaka wa Jamii forum,aliye katika wakati mgumu,kufuatia mpnzi wake kufanya.....sisemi uongo mkuu .kukuombea sitakuombea hata sikujui .wewe jiombee mwenyewe . fanya jinsi hata umfumanie
..mshana Jr ameshaenda training kuzimu,Duh JF kumbe kuna wachawi. Kwa nini mshana jr na wenzako hamjitokezi kumsaidia huyu bandugu, au mnaogopa mtayaumbua majini yenu?
..huo mgongo mama,..Duniani kuna mambo...
..anabeti mapenzi?..Huo mkeka wa kubeti we lofa acha ufala.
..mwenye mapenzi ya Kweli ni nn?MNANIPENDA AU MNATAMANI KUONJA PAPUCHI YANGU
..mee too,..Pole jamani iambie hiyo rohoo itulie.
Hahahaaa!!! duuh hizo ndoa taratibu basi,hapo si ndo atasugua bench zaidi maana mimi na yeye ndo basi tena,inabidi aanze upya!!!Dadeki unarogwa live bila chenga
Fanya maombi jitakase kwa damu ya Yesu, muombee pia uyo mwanamke, mchane live umemkuta so akuelezee WTF is that
Tangaza ndoa...mtu mvumilivu mnapendana unasubiri hadi urogwe ndo utangaze ndoa bana...ukute ndo kinachompeleja kwa sangoma mwanaume huna mwelekeo na ndoa af mda unaenda.... Unadhani tunaingia kweny mahusiano kupoteza muda???!ebo!